Rais Samia ahutubia viongozi mbalimbali pamoja na wananchi wa Comoro
JamhuriComments Off on Rais Samia ahutubia viongozi mbalimbali pamoja na wananchi wa Comoro
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akihutubia viongozi mbalimbali pamoja na wananchi wa Comoro kwenye Sherehe za miaka 50 ya Uhuru wa nchi hiyo zilizofanyika katika uwanja wa Malouzini Jijini Moroni tarehe 06 Julai, 2025.