JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Author: Jamhuri

Akwilapo asisitiza maeneo ya umma kupimwa na kulindwa kuepuka uvamizi

Na Munir Shemweta, Lushoto WANMM Katika jitihada za kuhakikisha maeneo ya umma hayavamiwi na kusababisha migogoro ya ardhi, Serikali imeendelea kusisitiza taasisi za umma nchini kupima na kuyalinda maeneo yake. Kauli hiyo ya Serikali inafuatia kujitokeza kwa changamoto za ardhi…

Iran yatangaza kuufunga mlango Bahari wa Hormuz

Iran imetangaza Jumanne kufungwa kwa muda kwa Mlango Bahari wa Hormuz, kwa ajili ya kuendeleza luteka ya kijeshi yenye nia ya kuonyesha uwezo wa Jamhuri hiyo ya Kiislamu. Hatua hiyo imechukuliwa huku wapatanishi wa Tehran wakiwa wamekamilisha mazungumzo yasiyo ya…

Zelenskiy : Trump ananishinikiza kupita kiasi

Rais wa Ukraine Volodymyr Zelensky amesema Rais wa Marekani Donald Trump alikuwa akimshinikiza vikali katika kujaribu kupata suluhu ya vita vya karibu miaka minne akisema ni jukumu la Kyiv kuhakikisha mazungumzo hayo yanafanikiwa. Zelensky, katika mahojiano na tovuti ya Marekani…

Dk Dugange : Ushirikiano SJMT, SMZ ni nguzo hifadhi ya mazingira

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Zanzibar NAIBU Waziri Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Mhe. Dkt. Festo Dugange ushirikiano wa Tanzania Bara na Zanzibar ni nguzo muhimu katika kukabiliana na athari za mazingira. Alisema hayo wakati wa kikao cha…

THBUB yafika kijiji cha Dunga kuwapa elimu ya haki za binadamu

Na Mwashamba Juma (THBUB), Zanzibar Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora, THBUB ofisi ya Zanzibar, imewajengea uelewa mpana wanakijiji wa Dunga Kiembeni kuhusu masuala ya uvunjifu wa haki za binadamu na ukiukwaji wa misingi ya utawala bora. Akizungumza…

Mtambo wa oksijeni waokoa maisha ya wananchi Lushoto

Na OWM – TAMISEMI, Lushoto Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu -TAMISEMI Mhe. Prof. Riziki Shemdoe ameshukuru Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa kuokoa maisha yake na wananchi wa Lushoto kwa kutoa…