Author: Jamhuri
Wazazi watakiwa kuwatengenezea mazingira bora ya elimu watoto wao
Na Tatu Mohamed, JamhuriMedia, Dar es Salaam IMEELEZWA kuwa wazazi wana jukumu la kuwaendeleza watoto wao kwa kuwapatia elimu bora na kuwafundisha stadi za maisha. Hayo yameelezwa mwishoni mwa wiki jijini Dar es Salaam na Mwalimu Irene Muthemba wakati wa…
Mahakama kutoa uamuzi wa hoja za mawakili wa Jamhuri na utetezi kesi ya Tundu Lissu Mei 6
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu imepanga kutoa uamuzi wa hoja za Mawakili wa Jamhuri na Mawakili wa utetezi katika kesi ya uchochezi inayomkabili Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Tundu Lissu,…
Kihouthi: Shambulio la Marekani limewaua wahamiaji 68 Yemen
Waasi wa Kihouthi wa nchini Yemen wamesema shambulio la anga lililofanywa na Marekani lililokilenga kituo kinachowashikilia wahamiaji kutoka Afrika limewauwa watu 68. Kamandi kuu ya Marekani haijazungumzia tukio hilo. Taarifa ya Wahouthi iliyotolewa mapema Jumatatu , imesema kando ya watu…
Dk Biteko awasilisha bungeni Bajeti ya Wizara ya Nishati kwa mwaka 2025/ 2026
📌 Yagusa utekelezaji wa miradi ya maendeleo kwa asilimia 96.5 📌 Upatikanaji umeme wa uhakika. Nishati Safi ya Kupikia, Uendelezaji Gesi Asilia; Baadhi ya vipaumbele vya Bajeti 📌 JNHPP, Usambazaji Umeme Vijijini na Ufikishaji Gridi Kigoma; Baadhi ya mafanikio Bajeti…