Author: Jamhuri
TCCIA yatembelea Mradi Mkubwa wa Biashara Afrika Mashariki EACLC, Wapongeza hatua ya maendeleo
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Timu ya Kitengo Cha Uhusiano na Mawasiliano kwa Umma ya Chemba ya Biashara, Viwanda na Kilimo Tanzania (TCCIA), ikiongozwa na Meneja wa taasisi hiyo Bw. Matina Nkurlu, imetembelea na kujionea hatua za mwisho…
Mabalozi kutangaza utalii wa Tanzania kimataifa
šZiara ya utalii ya Mabalozi kuchochea ushirikiano wa Tanzania na mataifa mengine Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia Dar es Salaam Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko ameipongeza Wizara ya Maliasili na Utalii pamoja na Wizara ya Mambo…
Doyo Hassan Doyo aidhinishwa na NLD kuwania urais 2025
Na Magrethy Katengu,JamhuriMedia, Dar es Salaam Chama cha National League for Demokracy (NLD) Kimemuidhinisha Doyo Hassan Doyo kuwa Mgombea Urais kwa tiketi ya Chama.hicho katika Uchaguzi Mkuu Oktoba 2025 huku Mfaume Khamisi Hassani akiidhinishwa kiwania Urais wa Zanzibari Akizungumza mara…
Sherehe za Muungano za mwaka huu zifanyike mikoa yote
WAZIRI MKUU, Kassim Majaliwa amesema Rais Dkt. Samia Suluhu HassanĀ ameelekeza maadhimisho ya sherehe za Muungano za mwaka huuĀ yafanyike katika mikoa yote yakiongozwa na viongozi wakuu wa Serikali. Ameyasema hayo alipowasilisha hotuba kuhusu Mapitio na Mwelekeo wa Kazi za Serikali na…
Serikali, Benki ya Dunia kuendelea kushirikiana kuboresha sekta ya afya
Na WAF Dodoma Waziri wa Afya Mhe. Jenista Mhagama amekutana na kufanya kikao na Mkurugenzi Mkuu wa Benki ya Dunia Kanda ya Afrika Bw. Daniel Dulitzky ambaye ameongozana na ujumbe wake akiwemo Bw. Nathan Belete, Mkurugenzi wa Benki ya Dunia…
TAKUKURU: Rushwa katika chaguzi inadhoofisha utawala bora na demokrasia
Mkurugenzi wa Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) Crispin Chalamila, amesema rushwa katika uchaguzi inaweza kudhoofisha utawala bora na demokrasia, ambapo baadhi ya wananchi wenye sifa za uongozi bora (mfano uadilifu na uwajibikaji) hushindwa kugombea au kutoteuliwa ama…