Author: Jamhuri
Dk Biteko ahimiza upendo, amani na ushirikiano Sengerema
๐Asisitiza wananchi kushiriki Uchaguzi Wa Serikali za Mitaa kwa amani ๐ Asema Sengerema inahitaji maendeleo na si maneno Na Ofisi ya Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko amehimiza…
JOWUTA yataka sheria za kazi kuwalinda wafanyakazi katika vyombo vya habari
UTPC yaomba serikali kuingilia kati Mwandishi wetu, JamhuriMedia, Singida Chama cha Wafanyakazi katika vyombo vya habari nchini (JOWUTA) kimetaka Serikali kusimamia sheria za kazi kwa wafanyakazi katika vyombo vya habari kama zilivyo sekta nyingine ili waandishi wapate haki na stahiki…
Mauaji ya waandishi yameongezeka duniani kwa asilimia 38, ripoti ya UN yaonyesha
Ripoti mpya ya Shirika la Umoja wa Mataifa kuhusu Utamaduni (UNESCO) imethibitisha kuongezeka kwa mauaji ya waandishi wa habari duniani kwa asilimia 38 katika kipindi cha miaka miwili (2022-2023) ikilinganishwa na miaka miwili kabla yake. Waandishi 162 wameuawa wakiwa kazini,…
Serikali imetekeleza miradi mingi sekta ya afumya – Dk Biteko
๐ Azindua Jengo la Kisasa la Upasuaji Sengerema DDH na Mradi wa Umeme wa Jua ๐ Ahimiza wananchi kutunza miundombinu ya hospitali ๐Ataja mageuzi makubwa yaliyofanywa katika sekta ya afya ๐ Alipongeza Kanisa Katoliki, awashukuru wafadhili wa miradi Na Ofisi…
Chatanda azindua Umoja wa Wanawake Wafanya biashara wa Masoko Dodoma
Na Dotto Kwilasa,JamhuriMedia,Dodoma Mwenyekiti wa UWT-Taifa Mary Chatanda amezindua Umoja wa Wanawake Wafanya biashara Mosoko yote Jijini Dodoma (UWAWAMA) huku akiwataka wanawake hao kuachana na mikopo yenye masharti magumu inayochangia kuanguka kiuchumi. Pamoja na Mambo mengine uzinduzi huo umehudhuriwa na…
ACT -Wazalendo walia wagombea wao kunyimwa fomu za kuwania uongozi wa Serikali za Mitaa
Na Magrethy Katengu,JamuhuriMedia,Dar es Salaam CHAMA cha ACT Wazalendo kimesema wagombea wa vyama vya upinzani katika maeneo mengi nchini wamekuwa wakinyimwa fomu za kuwania uongozi wa Serikali za Mitaa utakaofanyika Novemba 27, mwaka huu. Hayo yamebainishwa mwishoni jana na Makamu…





