JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Author: Jamhuri

Vijana watakiwa kutumia vizuri mitandao

Na Tatu Mohamed, JamhuriMedia, Dar es Salaam DIWANI wa Viti Maalum Mkoa wa Dar es Salaam, Beatrice Edward amewataka vijana kutumia mitandao kujinufaisha na wala sio katika mambo yasiyokuwa na faida. Ametoa wito huo wakati akizungumza kwenye Jukwaa la Usimamizi…

Fk Biteko asisitiza maadili, weledi na uwajibilajo katika ununuzi wa umma

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko amezitaka Mamlaka za Udhibiti na Ununuzi wa Umma Afrika Mashariki kuzingatia weledi, maadili na uwajibikaji ili kuleta ufanisi uliokusudiwa. Dkt. Biteko ametoa agizo hilo wakati akimwakilisha Rais wa Jamhuri…

Rostam Azizi atoa tamko kuhusu mauaji ya kiongozi wa CHADEMA

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Dar es Salaam – Mfanyabiashara maarufu na kada wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) nchini, Rostam Azizi, ameungana na Watanzania wengine kulaani vikali mauaji ya kiongozi wa chama cha Chadema, Mohamed Ali Kibao, yaliyotokea…

Rostam Azizi asikitishwa na kifo cha marehemu Mohamed Kibao

Katika siku za karibuni nchi yetu imeshuhudia kujirudia tena kwa matukio ya kikatili ambayo yamehusisha kuripotiwa kwa vitendo vya utekaji, utesaji na jana tukashuhudia tukio baya zaidi la mauaji ya kiongozi wa Chadema, Mohamed Ali Kibao. Naungana na Watanzania wema…

CCM yatoa pole kifo cha kada CHADEMA

Chama Cha Mapinduzi (CCM), kimetoa pole kwa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kutokana na msiba wa mjumbe wa sekretarieti ya chama hicho, Ally Kibao na kuliomba Jeshi la Polisi kuhakikisha wahusika wanatiwa nguvuni. Katibu wa Halmashauri Kuu ya CCM…

Ushiriki makundi mbalimbali katika kutoa maoni una mchango mkubwa kufanikisha maendeleo

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Arusha Ushiriki wa makundi mbalimbali ya kijamii hususan vijana katika kutoa maoni kwenye michakato ya Kidemokrasia nchini, umetajwa kuwa moja ya mambo yatakayojadiliwa kwa kina na kufikiwa maazimio ya kuhakikisha makundi hayo yanashiriki kikamilifu katika michakato…