Author: Jamhuri
Si sahihi kufanya ukaguzi katika kaya kubaini wanaotumia kuni au mkaa
Ma Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma Serikali imesema si sahihi na hakuna utaratibu wa kufanya ukaguzi katika kila kaya ili kubaini kama zinazotumia kuni au mkaa na badala yake kinachotakiwa ni kufuatilia na kuhakikisha misitu haikatwi ovyo. Hayo yamesemwa na Waziri…
Shughuli za kibinadamu kwenye shoroba chanzo cha migongano
Na Stella Aron, JamhuriMedia, Bagamoyo Imeelezwa kuwa kati ya vyanzo vinavyochangia migongano kati ya binadamu na wanyamapori ni kufanyika kwa shughuli za kibinadamu kama kilimo na ufugaji kwenye mapito ya wanyamapori. Hayo yamebainishwa leo Septemba 5, 2024 na Ofisa Mhifadhi…
Papa na imamu mkuu wa Indonesia watoa wito wa pamoja wa amani
Papa Francis ameonya dhidi ya kutumia dini kuchochea migogoro katika siku yake ya mwisho ya ziara yake nchini Indonesia, sehemu ya kwanza aliofika katika ziara yake ya kuzunguka eneo la Asia Pacific. Katika msikiti wa Istiqlal katika mji mkuu wa…
Wafariki kwa mganga wakitafuta dawa ya biashara, wazikwa kwa siri
Na Isri Mohamed, JamhuriMedia Wafanyabiashara wawili Raymond Hyera (25) na Riziki Mohamed (30) wamefariki dunia wakiwa kwa mganga wa tiba za asili, Mtila Ausi maarufu Shehe Mtila, baada ya kupewa maji ya kuwawezesha biashara zao kufanya vizuri. Baada ya kunywa…
Rowen William achaguliwa kuwania Ballon D’or
Na Isri Mohamed Golikipa wa Mamelod Sundowns, Ronwen Williams amechaguliwa kuwania tuzo kubwa za mpira duniani ‘Ballon D’or’ katika kipengele cha magolikipa kumi bora duniani ”YashinTrophy’ Katika kipengele hicho, Williams anashindanishwa na na Diogo Costa (FC Porto), Gianluigi Donnarumma (Paris…





