Author: Jamhuri
Milima ya Udzungwa inavyogeuzwa bustani ya furaha, amani
Na Alex Kazenga, JamhuriMedia, Morogoro Hifadhi ya Taifa ya Safu za Milima ya Udzungwa ipo kwenye hatua za awali za ujenzi wa njia ndefu ya utalii ipitayo juu ya miti maarufu ‘canopy walk away’ itakayosababisha ongezeko la watalii wa ndani…
Serikali kuyaendeleza makazi ya Mwalimu Nyerere
Serikali imedhamiria kuyafanya makazi ya hayati Baba wa Taifa, Mwalimu Julius Kambarage Nyerere yaliyoko kijiji cha Mwitongo, wilayani Butiama mkoani Mara kuwa kituo cha utalii. Hayo yalisemwa jana (Jumanne, Februari 27, 2024) na Waziri Mkuu Kassim Majaliwa wakati akizungumza na…
Ving’ora na taa za vimulimuli marufuku kama huna kibali maalum – Polisi
Na Magrethy Katengu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Jeshi la Polisi Kikosi cha Usalama barabarani limewataka wale wote waliofunga ving’ora na taa za vimulimuli kwenye magari na pikipiki zao pasipo kuwa na kibali maalumu kutoa mara moja kabla ya ukaguzi haujaanza…
CCM Zanzibar yamkaribisha babu duni kurejea nyumbani
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Zanzibar Chama cha Mapinduzi CCM Zanzibar kimetoa wito kwa Mwenyekiti wa Chama cha ACT Wazalendo Juma Duni Haji, kurejea Chama cha Mapinduzi ili kuendelea kulinda heshima yake kwa kazi kubwa aliyoifanya ya kupigania Demokrasia Zanzibar na…
Muhimbili yavuna kipande cha ubavu na kumtengenezea mgonjwa taya jipya
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Katika mwendelezo wa utoaji huduma za kibingwa na ubingwa bobezi unaotokana na kujenga uwezo wa watalaam wazawa chini ya Serikali ya Awamu ya Sita inayoongozwa na Dkt. Samia Suluhu Hassan, Hospitali ya Taifa…
Watuhumiwa sita wa mauaji ya rapa A.K.A wakamatwa
Na Isri Mohamed Ikiwa ni mwaka moja umepita tangu Rapa mkubwa nchini Afrika Kusini, Kiernan Forbes ‘A.K.A’ apigwe risasi na kufariki dunia, Polisi nchini humo wamethibitisha kuwakamata Watuhumiwa sita wa mauaji yake akiwemo ‘Mastermind’ aliyeandaa mpango mzima na kulipa Wauaji…