JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Author: Jamhuri

Serikali kushirikiana na TZLPGA ifikapo 2033, asilimia 80 ya Watanazania kuachana na mkaa

Na Magrethy Katengu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Serikali kupitia Mamlaka Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (EWURA) imesema itatoa ushirikiano na Chama cha Wafanyabiashara wa Gesi ya Kupikia Majumbani kwenye Nishati Safi Endelevu (TZLPGA) kimesema kitahakikisha ifikapo…

Breaking News, Edward Lowasa afariki dunia

Aliyewahi kuwa Waziri Mkuu Mstaafu, Edward Lowassa amefariki dunia hii leo, Februari 10, 2024 wakati akipatiwa matibabu katika Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Dar es Salaam.. Taarifa ya kifo chake imetangazwa leo na Makamu wa Rais, Dkt. Philip Mpango….

MSD, wadau wa afya Kanda ya Mbeya waweka mikakati ya uboreshaji na upatikanaji bidhaa za afya

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Mbeya BOHARI ya Dawa (MSD) imewatambua na kuwapongeza wadau wake wa Kanda ya Mbeya kwa ushirikiano na umahiri wao katika uboreshaji na upatikanaji wa bidhaa za afya kwenye maeneo yao. Akizungumza katika mkutano huo wa wadau…

Watumishi sekta ya ardhi watakiwa kutokuwa chanzo cha migogoro ya ardhi

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Tabora Katibu Mkuu Wizara ya Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi Mhandisi Anthony Sanga amewataka watumishi wa sekta ya ardhi kutokuwa chanzo cha migogoro ya ardhi na badala yake wawe wasuluhishi wa migogoro hiyo. Aidha, amewataka…

Mtoto wa Mutukudzi apagawisha Sauti za Busara 2024

Na Andrew Chale, JamhuriMedia, Zanzibar MTOTO wa gwiji wa muziki wa Afrika, Hayati Oliver Mutukudzi, Selmor Mutukudzi amekonga nyoyo za mashabiki mbalimbali waliofurika viunga vya Ngome Kongwe ndani ya Mambo Club Unguja, Zanzibar, katika usiku wa tamasha la 21, lililoanza…

Ikupa Foundation yawashika mkono wenye mahitaji maalum

Na Dotto Kwilasa,JamhuriMedia,Dodoma Mbunge wa viti maalum Stella Ikupa ametoa wito kwa wadau mbalimbali kuendelea kusaidia makundi ya watu wenye uhitaji wakiwemo walemavu ambao wamekuwa na mahitaji mengi. Aidha ametoa msaada wa vitu mbalimbali kwa watu wenye ualibino mkoani hapa…