Author: Jamhuri
Hospitali ya Temeke kuboresha miundombinu yake
Hospitali ya Rufaa ya Mkoa Temeke inapanga kufanya maboresho makubwa ya miundombinu kwa kurekebisha jengo la bima na kujenga gorofa nne hadi sita. Lengo ni kuboresha huduma kwa wananchi. Hatua hii imethibitishwa katika kikao kazi cha timu ya uendeshaji kilichofanyika…
Rais Dk Mwinyi aifungua bandari ya makontena Fumba
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dkt.Hussein Ali Mwinyi amesema Serikali itaendelea na hatua za kuimarisha sekta ya bandari kwa ujenzi wa maeneo mbalimbali ikiwemo ujenzi wa bandari jumuishi Mangapwani, bandari ya Shumba na Mkoani ili kuleta…
RC Kunenge akagua mahudhurio kidato cha kwanza na darasa la kwanza Pwani
Na Mwamvua Mwinyi, JamhuriMedia, Kibaha HALI ya mahudhurio kwa wanafunzi wa kidato cha kwanza na darasa la kwanza mkoani Pwani ni nzuri na inaridhisha ikiwa ni siku ya kwanza Januari 8 mwaka huu wakiripoti mashuleni. Mkuu wa mkoa wa Pwani,Abubakar…
Maadhimisho ya miaka 60 ya Mapinduzi Zanzibar, Dk Biteko afungua jengo la ofisi Mamlaka ya Maji Zanzibar
Kuelekea Maadhimisho ya Miaka 60 ya Mapinduzi Zanzibar, 📌Awapongeza Rais Dkt. Samia na Dkt. Mwinyi kwa maono na miongozo yao kutekeleza Miradi ya kimkakati 📌Aipongeza Wizara ya Maji, Nishati na Madini kupitia ZAWA kwa kukamilisha Jengo lenye ubora na hadhi…
Mbunge Cherehani : Tumuombee Rais Samia akamilishe miradi ya maendeleo
Na Samuel Mmbanga, JamhuriMedia, Ushetu – Kahama Watanzania wamehamasishwa kuendelea kumuombea Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. Samia Suluhu Hassan ili aweze kutekeleza na kukamilisha miradi ya maendeleo anayotekeleza. Rai hiyo imetolewa leo Januari 7 na Mbunge wa…
Hospitali ya Kairuki yaongeza chachu ya utalii wa tiba nchini
  Yasimika mtambo wa kisasa unaopatikana nchi tatu tu Afrika Tanzania sasa kupokea mamia ya wagonjwa kutoka nje Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam JITIHADA zinazofanywa na Rais Samia Suluhu Hassan kuigeuza Tanzania kuwa kitovu cha utalii tiba zinaendelea kupata…