JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Author: Jamhuri

Tamasha la Kilimanjaro Cultural Festival kukuza utalii Kilimanjaro

Na Happiness Shayo, JamhuriMedia, Kilimanjaro Waziri wa Maliasili na Utalii, Angellah Kairuki (Mb) amesema Tamasha la Kilimanjaro Cultural Festival linalohusisha utamaduni wa vyakula ,ngoma na lugha za asili za jamii ya Wachaga, Wapare na Wamaasai litasaidia kukuza utalii wa Mkoani…

Waziri Mavunde atembelea mradi wa Lindi Jumbo

Ujenzi wake wafikia zaidi ya asilimia 90 Kuanza uzalishaji mapema Machi, 2024 Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Lindi Waziri wa Madini, Anthony Mavunde leo Desemba 28, 2023 ametembelea mradi wa Lindi Jumbo Limited uliopo Wilaya ya Ruangwa Mkoa wa Lindi kwa…

Utekelezaji mradi wa umeme wa Julius Nyerere  (JNHPP) wafikia asilimia 94.78

Mashine mbili za Megawati 47O zimeshafungwa, majaribio yameanza Ujazo wa maji watosha kuanza kuzalisha umeme Dkt. Biteko asema kipaumbele ni upatikanaji wa umeme wa uhakika nchini Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Rufiji Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt….

Vitendo vionekane mapambano afya ya akili

Na Daniel Limbe, JamhuriMedia, Geita Maneno matupu hayavunji mfupa. Msemo huu hulenga kuihamasisha jamii kuchukua hatua sahihi za kiutendaji ili kufikia malengo kusudiwa badala ya kuzungumza sana pasipo utekelezaji wowote. Kwa muda mrefu jamii imekuwa na mtazamo wa shaka katika…