JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Author: Jamhuri

Wachimbaji wadogo wa madini wamburuza mahakamani rais wa wachimbaji FEMATA

Na Suzy Butondo,JamhuriMedia, Shinyanga Wachimbaji wadogo wa madini ya dhahabu waliokuwa wakiendesha shughuli zao za uchimbaji kwenye mgodi uliopo kijiji cha Imalamate Wilaya ya Busega mkoani Simiyu wameamua kumfungulia mashitaka rais wa Chama cha Wachimbaji wa madini Tanzania (FEMATA), John…

BRELLA kutoa mafunzo kwa Burundi, Sudan Kusini utoaji huduma kwa njia ya mtandao

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Wakala wa Usajili wa Biashara na Leseni (BRELA), imeanza kutoa mafunzo ya siku tatu kwa wawakilishi kutoka nchi za Burundi na Sudan Kusini juu ya utoaji wa huduma za urasimishaji wa biashara kwa…

Miaka mitatu ya Rais Samia, TRC yajivunia mafanikio makubwa

Na Jumanne Magazi,JamhuriMedia, Dar es Salaam Mtendaji Mkuu wa Shirika la Reli Tanzania (TRC), Masanja Kadogosa, amesema shirika limepata mafanikio makubwa kiutendaji ndani ya miaka mitatu ya uongozi wa Rais DKt Samia Suluhu Hassan tokea aingie madarakani. Akizungumza na wahariri…

Mmoja afariki kwa mafuriko, wengine waokolewa Ifakara

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Kilombero Mtu mmoja amefariki na wengine kuokolewa baada ya mvua kubwa kunyesha wilayani Kilombero. Akizungumza Mkuu wa Wilaya ya Kilombero, mkoani Morogoro, Dunstan Kyobya amethibitisha kutokea kwa kifo cha mtu mmoja baada kutumbukia kwenye kina kirefu…

Waandishi wa habari wawili wafariki kwa ajali Rufiji

Na Isri Mohamed, JamhuriMedia, Pwani Waandishi wa habari wawili waliokuwa wakitokea Dar es Salaam kuelekea Lindi wamefariki baada ya gari walilokuwa wamepanda kugongwa na gari aina ya Canter. Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kipolisi Rufiji, Protas Mutayoba, amethibitisha kutokea kwa…

Ubomoaji nyumba bonde la Msimbazi kuanza Aprili 12, nyumba 2,155 kuathirika

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Ubomoaji nyumba zilizofidiwa katika Mradi wa Uendelezaji wa Bonde la Msimbazi unatarajiwa kuanza Aprili 12, 2024, na litawahusu waathirika 2,155 ambao tayari wamelipwa fidia. ambaye ni Mratibu wa Miradi ya Ushirikiano na Benki…