Author: Jamhuri
Rais Kagame ashinda kwa kishindo matokeo ya awali uchaguzi Rwanda
Rais wa Rwanda Paul Kagame yuko mbioni kuongeza utawala wake wa miaka 24 kwa miaka mingine mitano katika ushindi wa kishindo, huku kura nyingi zikihesabiwa kutoka katika uchaguzi wa Jumatatu. Ana 99.15% ya kura kufikia sasa, na takribani asilimia 79…
Rais wa Shirikisho la Soka Colombia, mtoto wake wakamatwa
RAIS wa Shrikisho la Mpira wa Miguu Colombia(FCF), Ramón Jesurún, na mtoto wake wamekamatwa baada ya kutokea ugomvi wakati wa fainali ya Kombe la Mataifa ya Amerika Kusini’Copa América‘ Julai 14 katika jiji la Miami, Marekani. Ramón, 71, na Ramón…
Mtu tajiri zaidi barani Afrika asema hana nyumba nje ya Nigeria
Tajiri mkubwa barani Afrika Aliko Dangote amewashangaza watu wengi wa Nigeria baada ya kusema hana nyumba nje ya nchi hiyo. Dangote alisema alikuwa na nyumba mbili – katika mji aliozaliwa wa Kano, na Lagos – na aliishi katika nyumba ya…
Polisi 200 zaidi wa Kenya waelekea Haiti
Maafisa wengine 200 wa Polisi wa Kenya waliondoka Jumatatu usiku kuelekea Haiti, chini ya mpango unaoungwa mkono na Umoja wa Mataifa unaolenga kumaliza ghasia za magenge ya wahalifu katika taifa hilo la Caribbean. Maafisa wengine 200 wa Polisi wa Kenya…
Arusha yaibuka Kinara katika raundi ya tatu ya mashindano ya Gofu ya Lina PG Tour
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Mkoa wa Arusha umeibuka kinara wa jumla wa raundi ya tatu ya mashindano ya gofu ya Lina PG Tour baada ya wawakilishi wake Nuru Mollel kushika nafasi ya kwanza na Elisante Lemeris kushika…
Mwenyekiti BAWACHA Mara akemea rushwa ndani ya chama
Na Helena Magabe, JamhuriMedia, Tarime Mwenyekiti wa Baraza la Wanawake Chadema Mkoa wa Mara (BAWACHA), Veronica Irecho amekemea vikali vitendo vya rushwa vinavyojitokeza ndani ya Chama cha Demokakrasia na maendeleo (CHADEMA) Akizungumza katika kikao cha 7 tangu aanze ziara ya…





