JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Author: Jamhuri

Kaya 400,000 kuondolewa TASAF baada ya kuboreka kimaisha

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Arusha MFUKO wa Maendeleo ya Jamii (TASAF), umesema upo katika hatua za mwisho za kuondoa kaya 400,000 ambazo zilikuwa kwenye mpango wa kunusuru kaya maskini baada ya kuweza kuboreka kimaisha. Mziray amesema hayo wakati akizungumza na…

Utende,Chole kunufaika mradi wa umeme utakaopitisha nyaya chini ya bahari

Na Mwamvua Mwinyi, JamhuriMedia, Mafia Wakazi wa kisiwa cha Utende na Chole, wilayani Mafia,Mkoani Pwani wanakwenda kunufaika na mradi wa umeme wenye msongo mkubwa wa KV 11 ,kuvuta nguzo 300 na kuzamisha waya ndani ya maji kufikisha katika visiwa hivyo….

Muuaji wa wanawake 42 Kenya akamatwa akiwa klabu

Jeshi la Polisi nchini Kenya limetangaza kumkamata kijana Collins Jumaisi Khalusha (33) ambaye amekiri kuwaua Wanawake 42, baada ya kugunduliwa kwa miili tisa iliyokatwakatwa na kutupwa jalalani pembezoni mwa Mji mkuu wa Nairobi. kwa mujibu wa mkurugenzi wa makosa ya…

Trump akaribishwa kwa nderemo kongamano la chama cha Republican

Rais Donald Trump amehudhuria mkutano wa chama cha Republican akikaribishwa kwa shangwe na nderemo. Hii ni mara ya kwanza kwake kuonekana kwenye hafla kubwa ya umma tangu jaribio la mauaji dhidi yake kwenye mkutano wa kisiasa siku ya Jumamosi. Bandeji…

‘Wasiotimiza vigezo vya uwanja bora, wawekeni pembeni’

WAZIRI Mkuu, Kassim Majaliwa ameiagiza Shirikisho la mpira wa miguu Tanzania (TFF) kutoa masharti kwa klabu zinazomiliki viwanja vya michezo kufikia vigezo vya ubora vitakavyoainishwa na shirikisho hilo ili kufanikiwa zaidi katika sekta ya michezo na kuagiza wasiotimiza kuwekwa pembeni….