Author: Jamhuri
Tanzania mwenyeji Baraza la 42 la Utawala la PAPU
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Tanzania inakuwa mwenyeji wa Mkutano wa 42 wa Baraza la Utawala la Umoja wa Posta Afrika (PAPU) linalotarajiwa kuanza Juni 3 hadi 14, 2024 jijini Arusha yalipo Makao Makuu ya Ofisi za PAPU….
Wasanii wa Watanzania, Korea kucheza filamu kwa pamoja
Ahadi hiyo imetolewa na Rais wa Umoja wa Watayarishaji wa Filamu wa Korea (Korean Films Producers Association-KFPA), Bw. Eun Lee mbele ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan alipokutana nao jijini Seoul Juni 01, 2024….
Wananchi vijijo vya Likwela, Unyoni waipongeza Serikali kuwafikishia huduma ya umeme
Na Cresensia Kapinga, JamhuriMedia, Mbinga WANANCHI wa vijiji vya Likwela na Unyoni vilivyopo kata ya Unyoni Wilaya ya Mbinga mkoani Ruvuma wameipongeza serikali ya Awamu ya Sita chini ya uongozi wa Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia…
Pinda awafariji ndugu wa waliopoteza maisha kwa ajali ya mtumbwi
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Mlel Naibu Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi na Mbunge wa Jimbo la Kavuu katika halmashauri ya Mpimbwe mkoa wa Katavi Mhe. Geophrey Pinda amewatembelea na kuwafariji wananchi wa kijiji cha Ukingwamizi katika kitongoji…



