Author: Jamhuri
Gavana Bwanku atembelea kujionea uwekezaji mkubwa bilioni 20 wa Rais Samia kwenye bandari ya Kemondo
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Kagera Washuhudia Wataalamu wakubwa, mitambo mikubwa na wafanyakazi wakiwa site. Bandari ya Kemondo kufungua uchumi mzima wa mkoa. Bandari ya Kemondo iliyopo kwenye Tarafa ya Katerero wilayani Bukoba- Kagera ni moja ya Bandari kubwa 10 Tanzania…
Ostadh adaiwa kulawiti watoto 15, Mafia
Na Mwamvua Mwinyi, JamhuriMedia,Mafia Mkuu wa Wilaya ya Mafia, mkoani Pwani, Aziza Mangosongo , amethibitisha kukamatwa kwa Ostadh wa madrasa anaedaiwa kulawiti watoto zaidi ya kumi ambapo pia zipo kesi nyingine zinaendelea kuchunguzwa. Aidha amesema, licha ya serikali kupambana kupiga…
Dk Biteko azindua kituo cha kupoza umeme Ifakara
📌 Kuimarisha upatikanaji umeme Kilombero, Ulanga na Malinyi 📌 Kuchochea viwanda vya uongezaji thamani Mazao, Madini 📌 Asema Serikali inachukulia kwa uzito mkubwa suala la upatikanaji wa Nishati 📌 Asisitiza Umeme si anasa, ni jambo la lazima 📌 Aishukuru EU…
Mtuhumiwa wa Dawa za kulevya na Mauaji Arusha mbaroni
Na Mwandishi Jeshi la Polisi Arusha Jeshi la Polisi Mkoa wa Arusha limesema mei 29, 2024 muda wa saa 08:22 mchana huko katika maeneo ya Elerai Jijini Arusha walifanikiwa kumkamata Peter Mwacha (18) dereva bajaji na mkazi wa Sombetini Jijini…





