JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Author: Jamhuri

SADC yaitaja Tanzania kinara utekelezaji ajenda ya nishati safi ya kupikia

๐Ÿ“Œ Rais Samia aendelea kupongezwa kwa kuwa kinara wa Nishati safi ya Kupikia Afrika ๐Ÿ“Œ Mhe. Kapinga ataka mikakati, ubunifu utekelezaji nishati safi ya Kupikia Jumuiya ya SADC ๐Ÿ“Œ Asisitiza uelimishaji matumizi ya nishati safi ya kupikia kupewa nguvu ๐Ÿ“Œ…

REA yaja na mpango kabambe wa kuwezesha ujenzi wa vituo vya mafuta vijijini

๐Ÿ“ŒMkopo wa hadi Shilingi Milioni 133 kwa riba ya asilimka 5-7 kutolewa ๐Ÿ“ŒMarejesho ni ndani ya miaka 7 ๐Ÿ“ŒLengo ni kuhakikisha bidhaa za mafuta zinapatikana kwa gharama nafuu ๐Ÿ“ŒWananchi watakiwa kuchangamkia fursa Serikali kupitia Wakala wa Nishati Vijijini (REA) inatekeleza…

Rais Samia anapenda kufanya kazi na viongozi wa dini – Dk Biteko

๐Ÿ“Œ Asisitiza milango ya Rais Samia ipo wazi kwa ajili ya mazungumzo kwa mustakabali wa Taifa ๐Ÿ“Œ Asema Serikali inatambua na kuthamini kazi kubwa inayofanywa na Taasisi za dini ๐Ÿ“Œ Serikali kuendelea kushirikiana na Taasisi za dini kuchochea maendeleo ๐Ÿ“Œ…

Uwekezaji unavyoibadilisha Katavi, kutoka rasilimali hadi huduma kwa wananchi

Na Dotto Kwilasa, JamhuriMedia Dodoma Biashara ya kaboni (hewa ukaa) imekuwa chanzo kipya chenye tija kwa maendeleo ya kijamii na kiuchumi katika Mkoa wa Katavi, hususan Halmashauri ya Wilaya ya Tanganyika, kwa kufungua fursa mpya na kuchochea ustawi wa wananchi…

CUF: Hatutosusia Uchaguzi Mkuu, badala yake tutashiriki kikamilifu

Na Mwandishi Wetu, Mtwara Chama cha Wananchi (CUF) kimesema hakitasusia uchaguzi mkuu unaotarajiwa kufanyika Oktoba 2025 badala yake kitashiriki kikamilifu zoezi hilo. Hayo yalibainishwa wakati wa mkutano wa hadhara wa kitaifa wa chama hicho Jimbo la Mtwara Mjini uliyofanyika Manispaa…

P Diddy aendelea kusota rumande hadi Oktoba 3

MSANII mashuhuri wa muziki wa hip-hop, Sean Diddy Combs maarufu kama P Diddy, ameendelea kusalia rumande baada ya Jaji Arun Subramanian wa Mahakama ya Shirikisho kumkatalia dhamana, licha ya kupunguziwa baadhi ya mashtaka. Combs alikutwa na hatia ya kujihusisha na…