Author: Jamhuri
Tume ya Haki za Binadamu yawahamasisha wananchi kuhusu haki na Uchaguzi Huru
Na Tatu Mohamed, JamhuriMedia, Dar es Salaam TUME ya Haki za Binadamu na Utawala Bora imeutumia vyema msimu wa Maonyesho ya 49 ya Biashara ya Kimataifa ya Dar es Salaam (Sabasaba) kama jukwaa la kufikisha elimu kwa wananchi kuhusu haki…
CRDB yamkabidhi Rahabu Mwambene zawadi ya gari aina ya Ford Ranger XLT
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam BENKI ya CRDB imemkabidhi Rahabu Mwambene zawadi ya gari aina ya Ford Ranger XLT baada ya kushinda katika Droo ya tatu ya kampeni ya Tembocard ni Shwaa. Akizungumza wakati wa hafla ya makabidhiano…
RC Kilimanjaro aongoza mamia ya watu kuaga miili 36 waliopoteza maisha kwenye ajali Same
Na Ashrack Miraji,JamuhuriMedia, Same Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro, Mhe. Nurdin Babu, ameongoza mamia ya waombolezaji kuaga miili ya marehemu 36 kati ya 42 waliopoteza maisha kwenye ajali mbaya ya magari iliyotokea Juni 28, 2025 katika eneo la Sabasaba, wilayani…
SADC yaitaja Tanzania kinara utekelezaji ajenda ya nishati safi ya kupikia
📌 Rais Samia aendelea kupongezwa kwa kuwa kinara wa Nishati safi ya Kupikia Afrika 📌 Mhe. Kapinga ataka mikakati, ubunifu utekelezaji nishati safi ya Kupikia Jumuiya ya SADC 📌 Asisitiza uelimishaji matumizi ya nishati safi ya kupikia kupewa nguvu 📌…
REA yaja na mpango kabambe wa kuwezesha ujenzi wa vituo vya mafuta vijijini
📌Mkopo wa hadi Shilingi Milioni 133 kwa riba ya asilimka 5-7 kutolewa 📌Marejesho ni ndani ya miaka 7 📌Lengo ni kuhakikisha bidhaa za mafuta zinapatikana kwa gharama nafuu 📌Wananchi watakiwa kuchangamkia fursa Serikali kupitia Wakala wa Nishati Vijijini (REA) inatekeleza…