Author: Jamhuri
Walioshindwa kurejesha mawasiliano Somanga kuchukuliwa hatua – Ulega
Waziri wa Ujenzi, Abdallah Ulega amesisitiza kuwachukulia hatua kali za kinidhamu wataalam kutoka Wakala wa Barabara (TANROADS) waliouhusika na uzembe wa kushindwa kurejesha kwa wakati mawasiliano ya barabara kuu ya Dar es Salaam – Lindi eneo la Somanga Mtama mkoani…
Ukraine yakiri wanajeshi wake kuingia eneo linalodhibitiwa na Urusi
Rais wa Ukraine, Volodymyr Zelensky, amekiri hadharani kwa mara ya kwanza kwamba vikosi vya Ukraine viko katika eneo la Belgorod, Urusi. Katika hotuba yake aliyoitoa Jumatatu, Zelensky alisema, “Tunaendelea kufanya operesheni za kijeshi katika maeneo ya mipakani kwenye ardhi ya…
Walionyongwa duniani waongezeka : Amnesty
Idadi ya watu wanaojulikana kunyongwa mwaka jana ilikuwa kubwa zaidi katika takriban muongo mmoja, huku Iran, Iraq na Saudi Arabia zikiongoza kwenye orodha ya nchi zilizotekeleza hukumu hiyo. Ripoti ya kila mwaka kuhusu ya hukumu za kifo ya Shirika la…
Kagame azilaani nchi zinazoiwekea Rwanda
Rais wa Rwanda Paul Kagame amezilaani nchi zinazoiwekea nchi yake vikwazo. Baadhi ya mataifa yameiwekea Kigali vikwazo kuhusu kuhusika kwake katika mzozo wa mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo. Akihutubia kwenye tukio la kuashiria mwanzo wa mfululizo wa shughuli…
Ukraine na Marekani hatimaye kusaini mkataba wa madini
Timu ya wapatanishi wa Ukraine itasafiri kwenda Marekani wiki hii, wakitarajia kusaini mkataba wa madini ambao umekwama kwa wiki kadhaa. Washington pia inataka haki za kuchimba madini nchini Ukraine kwa kubadilishana na misaada inayoipa nchi hiyo. Mkataba huo ulitarajiwa kutiwa…
Trump atangaza mazungumzo ya nyuklia na Iran
Rais Donald Trump amesema Marekani itaanzisha mazungumzo, ya ngazi ya juu na Iran kuhusu mpango wake wa nyuklia siku ya Jumamosi. Alitoa tangazo hilo la kushangaza alipokutana na Netanyahu katika Ikulu ya White House. Rais huyo wa Marekani alisema ana…