Author: Jamhuri
Mtia nia wa ubunge Jimbo la Arumeru Magharibi Elius Lukumay arejesha fomu
Na Happy Lazaro, JamhuriMedia, Arusha MTIA nia wa ubunge Jimbo la Arumeru Magharibi Elius Lukumay hatimaye amerejesha fomu ya ubunge katika ofisi za chama cha Mapinduzi CCM Wilaya ya Arumeru baada ya kukamilisha kujaza . Lukumay pia ni Mwenyekiti wa…
MCT yatoa mwongozo mpya kwa vyombo vya habari kuelekea Uchaguzi Mkuu
Na Zulfa Mfinanga JamhuriMedia, Arusha Katika kuelekea kipindi nyeti cha uchaguzi Mkuu nchini, Baraza la Habari Tanzania (MCT) limetoa mwongozo muhimu kwa wanahabari, vyombo vya habari, taasisi za kiraia, vyuo vya uandishi wa habari, na makundi mengine likisisitiza utii wa…
Dotto Bahemu amechukua fomu ya kugombea ubunge Ngara
KutokaNgara Mkuu wa vipindi Clouds TV ambaye pia ni Muasisi na Mratibu wa programu ya #Kurasa365ZaMama @dottobahemu_ leo amewasili katika ofisi ya Chama cha Mapinduzi (CCM) Wilaya Ngara na kuchukua fomu kwa ajili ya kuomba ridhaa ya kuteuliwa na Chama…
Majaliwa : Nimelitumikia Jimbo la Ruangwa miaka 15 inatosha, asanteni
WAZIRI MKUU, na Mbunge wa Jimbo la Ruangwa Kassim Majaliwa leo Julai 2, 2025 ametangaza rasmi kutokugombea tena ubunge wa jimbo la Ruangwa baada ya kulitumikia jimbo hilo kwa miaka 15. Akizungumza na wajumbe wa kamati ya Siasa ya Mkoa…
UN: Mamilioni ya wakimbizi Sudan wanakabiliwa na njaa
Mamilioni ya watu wanaokimbia vita nchini Sudan wanakabiliwa na kitisho kikubwa zaidi cha njaa, wakati wakisaka hifadhi kwenye nchi ambazo tayari zina uhaba wa chakula. Shirika la Mpango wa Chakula Duniani, WFP lilisema siku ya Jumatatu kwamba wakimbizi zaidi ya…