Author: Jamhuri
Rais Samia, Museveni malizeni kero tule maisha
Na Deodatus Balile, JamhuriMedia, Dar es Salaam Leo nimetoka kanisani. Ni Dominika ya Februari 8, 2026. Najua makala hii itachapishwa gazetini siku ya Jumanne Februari 10, 2026. Somo kuu katika Injili, imehojiwa kuwa “Chumvi ikiharibika itatiwa nini?” Baba Moses Mbilinyi…
Baridi kali jijini New York yasababisha vifo vya watu 18
Jumla ya watu 18 wamefariki dunia kutokana na kipindi cha baridi kali jijini New York, kwa mujibu wa meya wa jiji hilo. Tangu mwishoni mwa Januari, jiji hilo limekumbwa na wimbi la baridi kali, likiwemo siku 13 mfululizo ambapo joto…
Urusi yaishambulia Ukraine kwa droni na makombora
Jeshi la anga la Ukraine limesema Urusi ilikuwa imerusha makombora 11 na droni 149 ikiwa ni pamoja na ndege za kivita aina ya Shahed zilizotengenezwa nchini Iran. Maafisa nchini Ukraine wamesema leo kwamba mashambulizi ya droni na makombora ya Urusi…
Zanzibar kujenga Taasisi ya Saratani
Na Mwandishi Wetu ,Zanzibar KATIBU Mkuu wa Wizara ya Afya Zanzibar, Dkt. Mngereza Mzee Miraji, amesema Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar imepanga kuanza ujenzi wa Taasisi ya Saratani Zanzibar mwaka huu, ujenzi ambao unatarajiwa kukamilika ndani ya kipindi cha miaka…
Katibu Mkuu Dk Muyungi awakaribisha wadau usafiri wa kutumia umeme
Na Mwandish Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam KATIBU Mkuu Ofisi ya Makamu wa Rais Dkt. Richard Muyungi amesema kuwa Serikali inatambua jitihada za wabunifu wa nyenzo mbalimbali zinazosaidia kupunguza gesijoto inayotokana na matumizi ya mafuta kwenye vyombo vya moto. Alisema…





