Author: Jamhuri
Mradi wa kufua umeme wa JNHPP wakamilika rasmi – Biteko
📌Asema ni ndoto ya Watanzania,awataka wategemee umeme wa uhakika 📌Asisitiza kazi iliyobaki ni kuimarisha miundombinu ya kuwafikishia wananchi umeme 📌Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan na Rais wa Misri kuuzindua rasmi Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati Mhe. Dkt. Doto Biteko amewataka Watanzania…
Uongozi mpya TEF 2025 – 2029
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Songea Jukwaa la Wahariri Tanzania (TEF), limekamilisha safu ya uongozi wa Kamati ya Utendaji (KUT), baada ya kupatikana mwenyekiti, Makamu mwenyekiti pamoja na wajumbe saba wa kamati tendaji. Mwenyekiti wa Kamati ya Uchaguzi, Frank Sanga, alisema…
Wizara ya Afya yajivunia mafanikio Ymyake ikiwemo kupungua kwa vifo vya mama na mtoto na saratani
Na Magrethy Katengu,JamhuriMedia,Dar es Salaam NAIBU Waziri wa Afya, Dkt. Godwin Mollel amesema kuwa moja ya mafanikio makubwa ya sekta ya afya ni kupungua kwa vifo vinavyosababishwa na saratani kwa asilimia 78,Vifo vya mama na mtoto, Hali hiyo imechangiwa na…
Mfumo wa PFZ, Vua,Uza Nunua Samaki Kidigital wazinduliwa kuwezesha wavuvi
Na Magrethy Katengu,JamhuriMediaDar es Salaam Katika jitihada za kutatua changamoto zinazoikabili sekta ya uvuvi Serikali imezindua mfumo wa kidigitali unaowezesha kutambua maeneo yenye samaki na kutoa taarifa za masoko. Mfumo huo ujulikanao kama ‘Potential Fishing Zone’ (PFZ) umebuniwa na Taasisi…
Ussi asisitiza amani na utulivu kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025
Na Mwamvua Mwinyi, JamhuriMedia, Rufiji KIONGOZI wa Mbio za Mwenge wa Uhuru Kitaifa, Ismail Ali Ussi, amesisitiza umuhimu wa kuitunza na kuenzi amani, utulivu na upendo miongoni mwa Watanzania kuelekea uchaguzi mkuu wa Oktoba mwaka huu. Akizindua bweni la wasichana…
Washindi sita wa kampeni ya ‘Tembo Card Shwaa’ kutalii mbuga ya Serengeti
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Benki ya CRDB imewapata washindi sita wa awamu ya kwanza wa kampeni ya ‘Tembo Card Shwaa’ ambao wamejishindia safari ya kutalii mbuga ya Serengeti wakiwa na wenza wao. Kampeni hiyo ilizinduliwa Februari 13, mwaka huu, huku…