JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Author: Jamhuri

TMA yawaonya wamiliki vituo vya hali ya hewa

Na MWandishi Wetu, JamhuriMedia Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) Dk. Ladislaus Chang’a, amewaonya wamiliki wa vituo vya hali ya hewa nchini kuacha mara moja tabia ya kutoa taarifa zao kiholela kwani kufanya hivyo ni…

Mikoa 13 kupatiwa mashine tiba za saratani ya milango wa kizazi

Na Catherine Sungura-Dodoma Serikali kwa kushirikiana na wadau wa afya imeagiza mashine Tiba (thermocoagulators) 100 zaidi ambazo zinatarajiwa kusambazwa kwenye vituo vya kabla ya mwezi Disemba 2023. Upatikanaji wa vifaa tiba hivyo utaenda kuongeza wigo wa upatikanaji wa huduma ya…

Waziri Mkuu kukutana na Kamati ya Wafanyabiashara Kariakoo Jumatano

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa anatarajia kukutana na kamati ya wafanyabiashara wa Soko la Kariakoo, Mawaziri wa sekta husika na Mamlaka ya Mapato Tanzania ( TRA). Mkutano huo unaotarajiwa kufanyika Saa 8 Mchana kwenye Ofisi ya Waziri Mkuu MAGOGONI- ikuluJumatano tarehe…

JKT Tanzania yapongezwa kurejea Ligi Kuu Tanzania Bara Msimu wa 2023/24

Na Mwandishi Wetu Katibu Mkuu wa Wizara ya Utamaduni, Sanaa na Michezo Saidi Yakubu, ameipongeza Klabu ya JKT Tanzania kwa kurejea kucheza Ligu Kuu Soka Tanzania Bara msimu mwaka 2023/2024 baada ya kumaliza vinara katika ligi Championship msimu 2022/2023. Yakubu…

Serikali yafanya mapinduzi makubwa sekta ya afya

Na Catherine Sungura,WAF- Dodoma Serikali imefanya mapinduzi makubwa katika sekta ya afya kwa kuweka mfumo madhubuti wa huduma za dharura na ajali kuanzia ngazi ya Taifa hadi wilaya ambapo matokeo ya uwekezaji huo ni kupunguza vifo kwa 40% ndani ya…