Author: Jamhuri
TANAPA itangazeni Hifadhi ya Mkomazi – Majaliwa
*Awataka wananchi kutumia fursa za kiuchumi zinazotokana na Utalii katika hifadhi hiyo. *Aiagiza Wizara ya Mawasiliano na Teknolojia ya Habari kuimarisha Mawasiliano. WAZIRI MKUU, Kassim Majaliwa ameiagiza Shirika la Hifadhi za Taifa (TANAPA) kuanzisha programu za kutangaza vivutio vilivyopo katika…
WMA yajivunia mafanikio yake ikiwemo kuajiri wafanyakazi 186
Na Dotto Kwilasa,JamhuriMedia, Dodoma Mtendaji Mkuu wa Wakala wa Vipimo (WMA), Alban Kihulla, amesema kuwa moja ya mafanikio makubwa na ya kihistoria ya uongozi wa Rais Samia Suluhu Hassan katika kipindi cha miaka minne ya utawala wake ni kuajiri wafanyakazi…
Mwanasheria Mkuu wa Serikali ateta na wanasheria na mawakili Arusha
Na Happy Lazaro, JamhuriMedia, Arusha Arusha .MWANASHERIA Mkuu wa serikali Hamza Johari amewataka Wanasheria na Mawakili wa serikali kuhakikisha wanatoa huduma zao kwa wakati na kuzingatia weledi na ubora ili wateja waweze kupata huduma kwa wakati. Ameyasema hayo leo jijini…
Biteko avutiwa utekelezaji wa ‘Local Content’ EACOP
Na Mwandishi wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati Dkt.Dotto Biteko ameieleza Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Nishati na Madini kuwa Serikali inafurahishwa na mradi wa Bomba la Mafuta Ghafi la Afrika Mashariki (EACOP)…
Mambo yaiva, maandalizi uzinduzi wa Mwenge wa Uhuru kitaifa kwa asilimia 96
Na Mwamvua Mwinyi, JamhuriMedia, Pwani Maandalizi ya uzinduzi wa mbio za Mwenge wa Uhuru Kitaifa mkoani Pwani yamefikia asilimia ili kufanikisha kufanya tukio hili kuwa kubwa la kihistoria. Uzinduzi huo unatarajiwa kufanyika katika viwanja vya Shirika la Elimu Kibaha, tarehe…