Author: Jamhuri
Iran yaionya Marekani dhidi ya uvamizi wa aina yoyote
IRAN imesema itajibu vikali shambulizi lolote litakalofanywa na Marekani. Ujumbe wa Iran kwenye umoja huo umetoa onyo hilo jana Jumatano likijibu kitisho cha Rais Donald Trump cha kuiingilia kijeshi. Ujumbe huo uliandika kwenye mtandao wa X kwamba Iran iko tayari…
Ndege yaanguka Colombia, watu wote 15 wafariki dunia
Ndege ya abiria imeanguka kaskazini mwa Colombia, na kuwaua watu wote 15 waliokuwemo, shirika la ndege la serikali la nchi hiyo, Satena, limethibitisha. Katika taarifa, shirika hilo lilisema ndege yake aina ya Beechcraft 1900”, ilipata ajali mbaya,” lakini halikutoa maelezo…
Brazil yaruhusu kilimo cha bangi kwa matumizi ya tiba
Wakala wa Taifa wa Udhibiti wa Afya wa Brazil imeruhusu rasmi kilimo cha mmea wa Cannabis sativa nchini Brazil kwa matumizi ya tiba na utafiti wa kisayansi. Uamuzi huo umetokana na maelekezo ya Mahakama ya Juu ya Haki (STJ), ambayo…
Tanzania yaimarisha ushirikiano wa kidiplomasia na Vatican
* Kuongeza Ushirikiano wa Kidiplomasia na Vatican katika masuala ya amani, mazungumzo na maendeleo ya kijamii Jamhuri ya Muungano wa Tanzania jana ilithibitisha upya urafiki wake wa muda mrefu na Vatican (Holy See), baada ya Waziri wa Mambo ya Nje…
CAF yaipiga faini ya dola 200,000 Morocco kwa kutaka ‘kuiba’ taulo la Senegal
Shirikisho la Soka Afrika (CAF) imeorodhesha adhabu walizotoa kwa Morocco na Senegal kufuatia vurugu iliyoshuhudiwa wakati wa fainali ya AFCON 2026. Mashabiki wengi wa mpira walikuwa na hamu ya kujua hatua zipi zitashukuliwa na shirikisho hilo huku kila upande ukiamini…
NMB yaongeza idadi ya magari ya kutoa huduma yafikia 15, wananchi kufikiwa kirahisi
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Benki ya NMB imeongeza idadi ya magari yake ya kutoa huduma za kifedha hadi kufikia 15, hatua inayolenga kuboresha upatikanaji wa huduma za benki katika maeneo yenye changamoto ya matawi ya kudumu, hususan…





