Author: Jamhuri
Betway yazindua mashindano ya kwanza ya Aviator Legends
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Kampuni kinara na mvumbuzi wa kimataifa katika tasnia ya michezo ya kubashiri mtandaoni imezindua rasmi mashindano ya kwanza ya Aviator Legends. Taarifa iliyotolewa Jijini Dar es Salaam imeeleza kuwa shindano hili la kusisimua…
Majaliwa aagiza Taasisi za Umma kujiunga na Mfumo wa GovESB kabla ya Julai 30
Na Dotto Kwilasa,JamhuriMedia,Dodoma WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa ameziagiza Taasisi zote za Serikali ambazo bado hazijajiunga na Mfumo wa Kielektroni wa Mawasiliano baina ya Mifumo ya Serikali (Government Enterprise Service Bus β GovESB), kuhakikisha zinafanya hivyo ifikapo Julai 30, 2025. Majaliwa…
Tumeendelea kuwekeza kimkakati katika sekta ya kilimo – Dk Biteko
π Wataalamu kutoka Asia na Afrika wakutana kutafuta suhulu za kilimo, lishe na afya π WHO yasema watoto na wanawake waendelea kukumbwa na ukosefu wa virutubisho π Serikali kuendelea kushirikiana na wadau wa sekta ya kilimo, lishe na afya π…
Tume ya TEHAMA, VETA sasa kushirikiana katika vyuo saba
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam TUME ya TEHAMA inaendelea kupanua wigo wa kukuza ubunifu na kuendeleza sekta ya TEHAMA nchini, baada ya kuingia makubaliano na Mamlaka ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi (VETA) ya kuendeleza teknolojia katika…
Bangi, skanka na mdpv mtegoni 2024; lukuvi asema mavazi , nyimbo za kiharamu kudhibitiwa
Na Dotto Kwilasa, JamhuriMedia, Dodoma Serikali imesema imepiga hatua katika mapambano dhidi ya dawa za kulevya nchini kwa mwaka 2024, huku ikitoa onyo kali kwa wasanii wanaotumia majukwaa yao kuhamasisha matumizi ya mihadarati kupitia maudhui ya nyimbo na mitindo ya…