Author: Jamhuri
NIRC yaimarisha utunzaji mazingira kupitia upandaji miti skimu ya Hombolo
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Hombolo Tume ya Taifa ya Umwagiliaji (NIRC) imefanya zoezi la upandaji miti katika Skimu ya Umwagiliaji Hombolo, mkoani Dodoma, ikiwa ni sehemu ya kuunga mkono jitihada za kitaifa za uhifadhi wa mazingira na utunzuaji wa rasilimali…
Waziri Kijaji ampokea Braydon Bent, atimiza ndoto yake ya kutembelea Tanzania
Waziri wa Maliasili na Utalii Dkt. Ashatu Kijaji (Mb) amempokea shabiki mashuhuri wa klabu ya Manchester City ya Uingereza Braydon Bent ambaye ametimiza ndoto yake ya siku nyingi ya kuitembelea Tanzania na kujionea vivutio mbalimbali ikiwemo Serengeti na Mlima Kilimanjaro….
Wazee washirikiana na Wizara ya Maendeleo ya Jamii zoezi la upandaji miti Dodoma
Na Raymond Mushumbusi WMJJWM- Dodoma Baraza la Wazee Mkoa wa Dodoma limeshirikiana na Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum katika upandaji miti ikiwa ni sehemu ya maadhimisho ya siku ya kuzaliwa kwa Rais wa Jamhuri ya…
Pwani yaungana na Rais Samia, wapanda miti 6,379 yagawa miche ya korosho milioni 1.5
Na Mwamvua Mwinyi,JamhuriMedia, Pwani SERIKALI kupitia Bodi ya Korosho imetoa jumla ya miche ya korosho milioni 4.2 nchini, ambapo kati ya miche hiyo, mkoa wa Pwani umepatiwa miche milioni 1.5, sawa na asilimia 35.7 ya miche iliyotolewa. Akizungumza na wakazi…
Tume ya uchunguzi yakutana na Nape Nnauye
TUME ya Uchunguzi wa Matukio ya Uvunjifu wa Amani yaliyojitokeza wakati na baada ya Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 29, 2025, leo Januari 27, 2026, imekutana na Mbunge wa Jimbo la Mtama, Nape Nnauye. Mkutano huo wa Tume na Nape umefanyika…
Dk Kilabuko azindua nyaraka za usimamizi wa maafa Nkasi
Naibu Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu Sera, Bunge, Uratibu na Wenye Ulemavu Dkt. James Kilabuko amezindua nyaraka za usimamizi wa maafa katika Halmashauri ya Wilaya ya Nkasi mkoani Rukwa huku akisisistiza nyaraka hizo kutekelezwa kwa vitendo. Dkt. Kilabuko amesema…





