Author: Jamhuri
Kamati yapongeza juhudi za Serikali uboreshwaji huduma za afya
NaWMwandishi wet, JamhuriMedia,Dodoma Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Afya na Masuala ya UKIMWI Mhe. Dkt. Lembulung Lukumay ameipongeza Serikali kwa kuwekeza fedha katika ujenzi wa miundombinu ya sekta ya afya pamoja na uboreshaji wa upatikanaji vifaa tiba. Dkt. Lukumay…
Mashindano ya Ligi ya Muungano yaimarisha undugu, umoja na mshikamano kwa Watanzania
Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) imesema itaendelea kutumia sekta ya michezo ili kujenga mahusiano ya undugu, ujamaa, umoja na mshikamano ili kuenzi misingi ya Muungano. Rai hiyo imetolewa leo Ijumaa (Januari 23, 2026) na Katibu Mkuu wa…
Waziri wa Ajira na uwekezaji Zanzibar aanika mipango ya wizara kujenga uzalendo na uchumi imara
Na Rahma Khamis, Maelezo Waziri wa Vijana, Ajira na Uwezeshaji Mhe, Shaaban Ali Othman amesema kuwa lengo la Kuwepo kwa Wizara hiyo ni kuhakikisha kila kijana anakua mzalendo kwa kujenga Uchumi wake na Taifa kwa ujumla Ameyasema hayo Jang’ombe Wilaya…
Dk Mwigulu aweka jiwe la msingi mradi wa kusukuma na kuhifadhi maji Mwanza
Waziri Mkuu, Dkt. Mwigulu Nchemba, ameweka jiwe la msingi la Mradi wa Ujenzi wa Miundombinu ya Kusukuma na Kuhifadhi Maji katika mkoa wa Mwanza, mradi unaolenga kuboresha usambazaji wa maji safi na salama kwa wananchi. “Miradi hii ni kwa ajili…
Kiwanda cha sukari Mkulazi chaanza kuleta tija
Na Mwandishi Wetu, Morogoro Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu – Kazi, Ajira na Mahusiano ya Kazi, Deus Sangu, ameridhishwa na maendeleo makubwa yaliyofikiwa katika mradi wa Kiwanda cha Sukari Mkulazi, ndani ya muda mfupi kiwanda hicho kitaanza kujiendesha…
Dk Mwigulu awasili Mwanza kwa ziara ya kikazi
WAZIRI MKUU, Dkt. Mwigulu Nchemba, leo Januari 23, 2026 amewasili mkoani Mwanza kwa ziara ya kikazi. Katika ziara hiyo, Waziri Mkuu anatarajiwa kutembelea Kituo cha Kuratibu Utafutaji na Uokozi cha Kikanda, kukagua Meli ya Ambulance, kuweka Jiwe la Msingi la…





