JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Author: Jamhuri

UCSAF kufikisha huduma za mawasiliano kwenye vijiji 5,102

Na Dotto Kwilasa, JamhuriMedia, Dodoma Mfuko wa Mawasiliano kwa Wote (UCSAF) imejizatiti kufikisha huduma za mawasiliano kwenye kata 1,974 na vijiji 5,102 nchini ambapo hadi sasa, minara 2,152 ya mawasiliano imejengwa, ambayo imewanufaisha zaidi ya wakazi milioni 29. Hayo yameelezwa…

EACOP yapata ufadhili wakati ujenzi ukifikia zaidi ya asilimia 50

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Mradi wa Bomba la Mafuta Ghafi la Afrika Mashariki (EACOP) umefikia hatua muhimu kwa kufanikisha upatikanaji wa sehemu ya kwanza ya ufadhili wa nje, hatua inayoweka msingi madhubuti kwa uwekezaji mkubwa zaidi wa…

SimBanking kugawa milioni 240, magari matano kwa wateja wake

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam IKIZINDUA msimu wa tano wa kampeni ya yake ya Benki ni SimBaking, Benki ya CRDB imetangaza kutenga zawadi kiasi cha shilingi milioni 240 pamoja na magari matano. Akizindua kampeni hiyo, Mkurugenzi wa Wateja…

CRDB yakabidhi madarasa kuchochea maendeleo ya sekta ya elimu Muheza

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Tanga KATIKA muendelezo wa kusheherekea miaka ya 30 ya uwepo wa Benki ya CRDB ambao umeleta mabadiliko chanya katika jamii, Benki ya CRDB imekabidhi madarasa mawili pamoja na vyoo sita katika Shule ya Msingi Misufini iliyopo…

Wawekezaji wa viwanda wahimizwa kuzalisha bidhaa bora zitakazoongeza ushindani

Mwamvua Mwinyi, JamhuriMedia, Kibaha SERIKALI itaendelea kuhimiza wawekezaji wa viwanda kuzalisha bidhaa bora zitakazoongeza ushindani wa Tanzania katika soko la Afrika. Waziri wa Nchi Ofisi ya Raisi Mipango na Uwekezaji, Prof. Kitila Mkumbo alieleza hayo katika ziara yake akiwa ameambatana…

REA yapongezwa kwa uhamasishaji wa matumizi ya nishati bora

📌DC Chikoka asisitiza utunzaji wa miundombinu ya umeme Mkuu wa Wilaya ya Musoma, Mhe. Juma Chikoka amewapongeza Wakala wa Nishati Vijijini (REA), kwa kuendelea kuhamasisha matumizi bora ya nishati kwa Watanzania wote. Mhe. Chikoka amebainisha hayo leo Machi 27, 2025…