JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Author: Jamhuri

Maelfu waandamana kupinga azma ya kuidhibiti Greenland

Maelfu ya watu wamejitokeza katika mitaa ya mji mkuu wa Denmark wa Copenhagen hivi leo, kupinga azma ya Rais Donald Trump ya kutaka kuichukua. Maelfu ya watu wamejitokeza katika mitaa ya mji mkuu wa Denmark wa Copenhagen hivi leo, kupinga…

Museveni wa Uganda ashinda muhula wa saba wa Urais

Tume ya Uchaguzi nchini Uganda imesema Rais Yoweri Museveni ameshinda kwa kishindo katika uchaguzi wa urais wa Uganda. Mwenyekiti wa tume ya uchaguzi Simon Mugenyi Byabakama amesema siku ya Jumamosi. Matokeo rasmi ya uchaguzi yanaonyesha, Museveni ameshinda muhula wake wa…

Mamia Kilimanjaro wajitokeza kupata vipimo na matibabu bila kumeza dawa wala sindano

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Kilimanjaro Mamia ya wakazi wa mkoa wa Kilimanjaro wenye changamoto za kiafya leo wamejitokeza kupata elimu, kufanyiwa vipimo na baadhi kuanza kupata tiba bila kumeza vidonge wala kuchomwa sindano. Tiba hiyo, imetolewa katika eneo la Bomang’ombe…

REA yasaini mikataba ya trilioni 1.2 ya kusambaza umeme katika vitongoji 9,009

📌Wakandarasi wazawa wapewa kipaumbele 📌Wakandarasi watakiwa kufanya kazi kwa weledi, ubora na kasi 📌Watakiwa kuepukana na vitendo vya rushwa 📌Wahimizwa kufuata Sheria, Kanuni na Taratibu za Nchi 📍Dodoma Serikali kupitia Wakala wa Nishati Vijijini (REA) imesaini mikataba 30 yenye thamani…

Watumishi wapya wa Ofisi ya Msajili wa Hazina wapigwa msasa

Na Mwandishi wa OMH, Kibaha, Pwani Ofisi ya Msajili wa Hazina (OMH), kwa kushirikiana na Chuo cha Utumishi wa Umma Tanzania (TPSC), imeendesha mafunzo ya siku nne kwa watumishi wapya 20 walioajiriwa katika ofisi hiyo, kwa lengo la kuwajengea uwezo…

Rais Mwinyi awahimiza waumini kuendelea kuitafuta elimu kujijengea heshima ndani ya jamii

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Alhaj Dkt. Hussein Ali Mwinyi, amewahimiza Waumini wa Dini ya Kiislamu kutenda mambo mema ili kutajwa kwa wema ndani ya jamii pale wanapotangulia mbele ya haki. Amesema hayo leo aliposhiriki Ibada…