Author: Jamhuri
MSD yaitembelea taasisi mwenza ya Madagascar
Watendaji wa Bohari Kuu ya Dawa (MSD) wakiongozwa na Meneja wa Masoko ya Kikanda, Nabila Hemed wametembelea Bohari Kuu ya Dawa ya Madagascar (SALAMA) na kuzungumza na uongozi wa bohari hiyo, wakiongozwa na Mwenyekiti wa Bodi, Bw. Claude Eric Ramanantoanina…
Wakulima, wafugaji watakiwa kujiunga na bima za kilimo
Na Tatu Mohamed, JamhuriMedia, Dodoma WAKULIMA na wafugaji nchini wametakiwa kuchangamkia fursa ya bima za kilimo na mifugo ili kulinda uwekezaji wao dhidi ya majanga yanayoweza kuathiri uzalishaji na kipato. Akizungumza kwenye Maonesho ya Nanenane yanayoendelea jijini Dodoma, Kamishna wa…
CUF kuamua nani kupeperusha bendera ya urais Uchaguzi 2025
Na Magrethy Katengu,Jamhuri lMediaDar es Salaam CHAMA cha Wananchi CUF kinafanya Mkutano Mkuu Maalum unatarajiwa kufanyika kesho Agosti 9,2025 kwa lengo ni kupitisha wagombea wa Urais.upande wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania pamoja na Serikali ya Mapinduzi Zanzibar waliopendekezwa na…
INEC yatangaza ratiba rasmi ya vyama kuchukua fomu za wagombea irais
Na Dotto Kwilasa,JamhuriMedia,Dodoma Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC) imetangaza ratiba ya kuchukua fomu za uteuzi kwa wagombea wa vyama 14 vya siasa waliopendekezwa kugombea nafasi za Kiti cha Rais na Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa…
Dk Samia kuchukua fomu ya kugombea urais kwa tiketi ya CCM
Na Dotto Kwilasa,JamhuriMedia,Dodoma Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Taifa, ambaye pia ni Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, anatarajiwa Agosti 9, 2025 kuchukua fomu ya kugombea nafasi ya Urais kwa tiketi ya CCM katika…





