JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Author: Jamhuri

Wanawake Monduli waathirika wakubwa mabadiliko tabia nchi ,walia wanaume kuhama

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Monduli Wanawake wa Jamii ya kifugaji ya kimasai wilayani Monduli mkoa Arusha,wametajwa kuwa waathirika wakubwa ya mabadiliko ya tabia nchi, hali ambayo imefanya maisha yao kuwa duni huku wakieleza adha ya waume zao kuhama majumbani kwenda…

Kibaha yazindua kampeni ya mpango wa kutokomeza kichaa cha mbwa

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Kibaa Halmashauri ya Wilaya ya Kibaha mkoani Pwani imezindua rasmi kampeni ya mpango wa kutokomeza kichaa cha mbwa ambayo imeambatana na utoaji wa chanjo ikiwa ni mikakati muhimu ya kulinda afya za binadamu na wanyama. Uzinduzi…

Marufuku wakopeshaji, kudhalilisha wakopaji

Na Boniphace Mwabukusi, Jamhuri Media, Dar es Salaam Si halali kwa kampuni ya kukopesha au benki kumkejeli au kumtangaza vibaya mteja aliyeshindwa kulipa rejesho kwa ukamilifu. Kwa mujibu wa sheria za Tanzania, mteja ana haki ya faragha na heshima yake…

Kwa nini Watanzania hawana furaha?

Orodha ya kila mwaka ya viwango vya furaha inaendelea kuongozwa na nchi za Nordic, zinazozijumuisha Denmark, Finland, Iceland, Norway na Sweden, huku Finland ikiendelea kushikilia nafasi ya kwanza miongoni mwao tangu mwaka 2018. Denmark ni ya pili, Iceland (3), Sweden…

Moto mkubwa wa msituni wauwa watu 24 Korea Kusini

Moto mkubwa wa misituni unaoendelea kwa siku ya tano mfululizo katika maeneo ya kusini mashariki mwa Korea Kusini umesababisha vifo vya watu 24. Maafisa wamesema zaidi ya watu 27,000 wamelazimika kuhamishwa. Rais wa mpito wa nchi hiyo, Han Duck-soo, amesema…