Author: Jamhuri
Marekani yatishia kuchukua hatua za kijeshi dhidi ya Iran
Marekani kwa mara nyingine imeitishia serikali ya Iran juu ya uwezekano wa kuchukua hatua za kijeshi kutokana na ukandamizaji wakati wa maandamano makubwa ya kitaifa. Balozi wa Marekani katika Umoja wa Mataifa, Mike Waltz, kwenye kikao cha Baraza la Usalama…
Moto wazua taharuki jengo la NSSF Posta Dar
engo la gorofa tisa linalomilikiwa na Shirika la Hifadhi ya Taifa ya Jamii (NSSF), lililopo eneo la Posta jijini Dar es Salaam, limenusurika kuungua baada ya moto kuibuka na kusababisha hataruki kubwa. Taharuki hiyo imetokea leo Januari 16, 2026 majira…
Maridhiano si udhaifu, ni ukomavu
Na Deodatus Balile, JamhuriMedia, Dar es Salaam Katika siku za karibuni, sauti za vijana waliotaka kuandamana zilisikika kwa nguvu katika mitaa na kwenye majukwaa ya mitandao ya kijamii. Sauti hizi, bila kujali mtu anazipokea kwa hisia zipi, zina ujumbe mmoja…
Tanzania yasisitiza uongezaji thamani madini barani Afrika
●Tanzania yajipanga kuwa kitovu cha uongezaji thamani madini Afrika. ●Yashauri kuhusu ushirikiano wa kikanda na kisekta. Riyadh, Saudi Arabia Tanzania imetambua shughuli za uongezaji thamani madini kama nguzo muhimu ya kuleta maendeleo endelevu ya kiuchumi na kijamii lengo kubwa ikiwa…
‘Ufuatiliaji na tathmini ya miradi ya maendeleo linafanyika kwa ufanisi ‘
Na Mwandishi Wetu, Iringa Imeelezwa kuwa zoezi la uandaaji Utekelezaji wa miongozo ya ufuatiliaji na Tathmini Serikalini kunachangia kuongeza kasi ya Ukamilishaji wa Miradi ya Maendeleo kwa kuzingatia mchango wake katika kurahisisha shughuli za utekelezaji wa miradi mbalimbali na kujiletea…





