Author: Jamhuri
Waziri Mkuu atembelea kiwanda cha kuchakata parachichi Njombe
*Ampongeza Kamishna TRA kwa kusimamia weledi patika ukusanyaji wa kodi -Atembelea kiwanda cha uchakataji mazao ya parachichi WAZIRI MKUU, Kassim Majaliwa amezitaka jumuiya za wafanyabiashara nchini kuendelea kuwa na imani na Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan kwani amedhamiria kutatua changamoto…
Rais Alhajj Dk Mwinyi akizungumza kongamano la kiimani kwa viongozi wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhajj Dk.Hussein Ali Mwinyi akielekea katika ukumbi wa Sheikh Idrisa Abdulwakil Kikwajuni Wilaya ya Mjini Unguja, kuhudhuria Kongamano la Kiimani Kwa Viongozi wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar, lililofanyika katika Ukumbi huo…
INEC yaongeza siku mbili za uboreshaji Daftari la Kudumu la Wapiga Kura Dar
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi imetangaza kuongeza siku mbili zaidi za zoezi la uboreshaji wa Daftari la Kudumu la Wapiga Kura Mkoani Dar es Salaam ambapo sasa zoezi hilo litamalizika Machi 25,…
Waziri Masauni ahimiza matumizi ya nishati safi
……Awaandalia futari wadau wa mazingira Na Mwandishi Wetu WAZIRI wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira), Hamad Masauni amewahimiza watanzania kutumia nishati safi kupikia kama mkakati bora wa kupambana na mabadiliko ya tabia nchi, uhalibifu wa mazingira…
Wizara ya Maji na DAWASA wakabidhi JKCI hundi ya milioni 20
Na Mwandishi Wetu WIZARA ya Maji imeikabidhi Taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete (JKCI), hundi la shilingi milioni 20 kwaajili ya matibabu kwa watoto wenye changamoto mbalimbali za magonjwa ya moyo. Hundi ya fedha hizo ilikabidhiwa mwishoni mwa wiki na…