Author: Jamhuri
ACT Wazalendo Simiyu wampokea Mpina kwa maandamano makubwa
Na Mwandishi Wetu, Simiyu Chama cha ACT Wazalendo kimefanya mapokezi rasmi ya mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa tiketi ya chama hicho, Luhaga Mpina, katika mkutano wa hadhara uliofanyika Jimbo la Kisesa, Mkoa wa Simiyu. Mkutano huo…
Wananchi Manispaa ya Kigoma Ujiji waanza kunufaika na Mradi wa Tactic
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Kigoma WANANCHI katika Manispaa ya Kigoma Ujiji wameanza kunufaika na mradi wa TACTIC unaotekelezwa chini ya Wakala ya Barabara za Vijijini na Mijini (TARURA) kwa mkopo nafuu kutoka Benki ya Dunia. Akielezea mradi huo unavyotekelezwa katika…
Kongamano la kwanza la Kimataifa la Saratani kufanyika Dar
Na Tatu Mohamed, JamhuriMedia, Dar es Salaam ZAIDI ya madaktari bingwa wa saratani, wataalamu wa tiba mionzi, watafiti na watunga sera kutoka nchi zaidi ya 20 wanatarajiwa kushiriki kongamano la kwanza la kimataifa la saratani litakalofanyika jijini Dar es Salaam…
Dk Kimambo afanya ziara kituo cha tiba kazi na utengamano wa afya ya akili
Mkurugenzi Mtendaji wa Hospitali ya Taifa Muhimbili Dkt. Delilah Kimambo leo Agosti 16, 2025 amefanya ziara Kijiji cha Tiba Kazi na Utengamao wa Afya ya Akili (Vikuruti) ambacho ni sehemu ya hospitali hiyo ili kuzungumza na watumishi, kuona utendaji kazi…
TANROADS Ruvuma yaanza ujenzi daraja la Mitomoni litakalowaunganisha Nyasa na Songea
Na Mwandishi Wetu, Songea WIZARA ya Ujenzi kupitia Wakala wa Barabara Tanzania (TANROADS)Mkoa wa Ruvuma, imeanza ujenzi wa daraja la Mitomoni katika Mto Ruvuma lenye urefu wa mita 45 ambalo litaunganisha Wilaya ya Nyasa na Songea. Meneja wa TANROADS Mkoani…
MSD yazidi kuimarisha usambazaji wa dawa nchini
Na Dotto Kwilasa,JamhuriMedia,Dodoma Serikali imesema inaendelea kuimarisha upatikanaji wa dawa, vifaa tiba na vitendanishi nchini ambapo kwa kipindi cha miaka minne idadi ya vituo vinavyohudumiwa na MSD imeongezeka kutoka 7,095 mwaka 2021/22 hadi kufikia 8,776 mwaka 2024/25. Idadi hiyo ni…