JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Author: Jamhuri

Watumishi wa Magereza Manyara wapatiwa majiko ya gesi

📌Mifumo ya uzalishaji wa bayogesi 126 mbioni kuanza 📌REA, Jeshi la Magereza kununua mashine 61 za mkaa mbadala 📌REA kuwajengea uwezo magereza uendelezaji miradi ya nishati safi 📌Mha. Saidy amewataka magereza kuwa mabalozi wa nishati safi Serikali imewapatia watumishi wa…

CCM Tabora wapongeza kuboreshwa huduma za afya

Na Allan Kitwe, Tabora CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) Mkoani Tabora kimeridhishwa na maboresho makubwa ya miundombinu ya afya katika zahanati, vituo vya afya na hospitali za wilaya zote za Mkoa huo hali iliyopelekea wananchi kuanza kupata huduma bora. Pongezi hizo…

16 wafariki katika maandamano ya kupinga Serikali yafikia Kenya

Watu kumi na sita walifariki dunia wakati wa maandamano ya kupinga serikali nchini Kenya Amnesty International imesema. Maandamano hayo yalikuwa kumbukumbu ya mwaka mmoja kwa waliofariki wakati wa maandamano ya kupinga mswada wa fedha 2024 ambapo baadaye walivamia bunge. Ikiwa…

Nchi za NATO kuongeza bajeti kwa ajili ya ulinzi

VIONGOZI wa nchi wanachama wa Jumuiya ya kijeshi ya NATO wameidhinisha rasmi ongezeko la asilimia tano ya Pato la Taifa kwa ajili ya matumizi ya ulinzi kwenye mkutano wao wa kilele uliofanyika mjini The Hague, Uholanzi. Nchi wanachama wa jumuiya…

Serikali yawarejesha Watanzania 42 kutoka nchini Iran na Israel

Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imefanikiwa kuwarejesha salama nchini Watanzania 42 kutoka nchini Israel na Iran kufuatia vita vilivyokuwa vikiendelea baina ya mataifa hayo mawili. Akizungumza mara baada ya kuwapokea Watanzania hao kwenye Uwanja wa Ndege wa Kimataifa…

Serikali yazindua utekelezaji Mradi wa TACTIC wenye thamani ya Trilioni 1.1 kwa uboreshaji miji 11

Na Dotto Kwilasa, JamhuriMedia Dodoma Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imezindua rasmi utekelezaji wa awamu ya kwanza ya mikataba ya Mpango wa Uboreshaji wa Miundombinu ya Miji (TACTIC), yenye thamani ya Dola za Marekani milioni 410 sawa na…