JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Author: Jamhuri

Kenya mwenyeji wa fainali za Michuano ya Mataifa ya Afrika

Kenya imepongeza tangazo la Shirikisho la Soka barani Afrika (CAF) kuwa nchi hiyo itakuwa mwenyeji wa fainali ya Michuano ya Mataifa ya Afrika (CHAN) Agosti. Akipongeza hatua hiyo, mkuu wa Shirikisho la Soka la Kenya Hussein Mohammed, aliishukuru CAF kwa…

Marekani yashambulia vinu vya nyuklia Iran

Hatimaye, Marekani imeingia rasmi katika mgogoro wa kijeshi kati ya Israel na Iran kwa kuishambulia Iran moja kwa moja, katika kile kinachoelezwa kuwa ni hatua ya kuisaidia Israel katika vita vinavyoendelea kwa zaidi ya siku kumi. Kwa kutumia ndege za…

‘Siku damu ilipogeuka mto, mashujaa 800 wa Litembo waliposimama kwa mishale dhidi ya bunduki’

Na Albano Midelo, JamhuriMedia, Ruvuma Jua lilipozama Machi 4, 1902, milima ya Umatengo haikulisindikiza kwa machweo ya kawaida. Badala yake, anga lilitawaliwa na moshi mzito wa bunduki, vilio vya kina mama, na sauti za mwisho za mashujaa waliokataa kupigishwa magoti…

Watu 259 wapata huduma ya uchunguzi wa magonjwa ya moyo Dodoma

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma Watu 259 wamepata huduma ya uchunguzi wa magonjwa ya moyo inayotolewa na wataalamu wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) katika Maadhimisho ya Wiki ya Utumishi ya Umma yanayofanyika kwenye Viwanja vya Chinangali Park jijini…

JKCI yaelezea teknolojia inazozitumia mgonjwa kuwasiliana na daktari popote alipo

Na Jeremiah Ombelo Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) imeelezea inavyotumia teknolojia ya tiba mtandao (Telehealth) katika kuboresha huduma za afya inazozitoa kumsaidia mgonjwa kuwasiliana na daktari popote alipo. Hayo yameeleza na Mkurugenzi wa Upasuaji wa Taasisi ya Moyo Jakaya…