JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Author: Jamhuri

Kihongosi : Ilani ya CCM imebeba matumaini ya Watanzania

KATIBU wa Itikadi,Uenezi na Mafunzo wa Chama Cha Mapinduzi(CCM), Kenani Kihongosi amesema katika uchaguzi mkuu mwaka huu chama hicho ndicho chenye Ilani bora kuliko kipindi chochote kile kwani imebeba matumaini ya Watanzania nchini. Akizungumza leo Oktoba 27,2025 mbele ya Jukwaa…

Viongozi wa dini waendelea kihimiza amani uchaguzi mkuu

Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam VIONGOZI wa dini nchini wameendelea kuhimiza umuhimu wa kudumisha amani, umoja na uzalendo kuelekea Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 29, 2025, wakisisitiza kuwa amani ndiyo msingi wa ustawi wa taifa na ibada halisi kwa Mungu….

Rais Samia awasili Mwanza kufunga kampeni

Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Dkt.Samia Suluhu Hassan amewasili jijini Mwanza leo Oktoba 27,2025 kwa ajili ya kufunga mikutano ya kampeni ya chama hicho hapo kesho Oktoba 28,2025 ndani ya…

NCCR Mageuzi wahamasisha amani, mshikamano kuelekea Uchaguzi Mkuu Oktoba 29

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia,Dar es Salaam Chama cha NCCR Mageuzi Kimesema amani na mshikamano ni utajiri Mlmkubwa kuliko dhahabu almasi, vito vya thamani hivyo kila Mtanzania ana wajibu kulinda vituo hivyo kwa gharama yoyote bila kujali itikadi za kidini na…

Watoto yatima Tabora wamwombea dua Dk Samia

Na Allan Kitwe, JamhuriMedia, Tabora WATOTO yatima wanaolelewa katika Kituo cha Mafanikio Day Care kilichoko Mjini Tabora wamefanya dua maalumu ya kumwombea Dk Samia Suluhu Hassan ili apate ushindi wa kishindo mwaka huu ili aendelea kusaidia wananchi. Wakisoma dua hiyo…

Watumishi wa Umma waaswa kushiriki uchaguzi wa Oktoba 29

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Ofisi ya Msajili wa Hazina (OMH) imetoa wito kwa watumishi wote wa umma walioko katika taasisi na mashirika ya umma kote nchini kushiriki kikamilifu katika Uchaguzi Mkuu utakaofanyika Jumatano, Oktoba 29, 2025. Ofisi…