Author: Jamhuri
Mugabe anasema tumuenzi Mwalimu Nyerere; sisi vipi?
Kesho ni Siku ya Nyerere, siku inayoadhimisha miaka 16 tangu Mwalimu Julius Kambarage Nyerere afariki mwaka 1999. Ni mwaka pia wa Uchaguzi Mkuu; mwaka unaotoa fursa kwa Watanzania kuchagua viongozi watakaotuongoza kwa miaka mitano ijayo kwenye ngazi za udiwani, uwakilishi,…
Hayatou kaokota dodo chini ya mwarobaini?
Katika vijiwe na hata maofisini, hakuna aliyewaza hata siku moja kuwa Dk. John Magufuli angeteuliwa na Chama Cha Mapinduzi (CCM) kuwania urais wa Tanzania mwaka huu. Kulikuwa na majina makubwa ambako wadau walijaribu kuyapima na kuona kwamba hana nafasi. Sina…
Lowassa: Wanajisumbua
Mgombea wa urais kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Edward Lowassa, amesema hana muda wa kuwajibu wale wote wanaomsakama, lakini amejipambanua kuwa anataka kuwatumikia Watanzania kuanzia mwezi huu. Lowassa amesema kwa malengo hayo ya kutaka kuwatumikia Watanzania ambao kwa…
Hoja nzito za Lowassa kuelekea Ikulu 2015
Mgombea urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Edward Lowassa, amesema: “Watanzania tuna fursa ya pekee kuuondoa utawala wa CCM madarakani na kuleta mabadiliko ya kweli nchini.” Lowassa amesema hayo, katika salamu zake kwa Watanzania katika kitabu cha ilani ya…
CCM imechoka, adai Kingunge
Mwanasiasa wa siku nyingi, Kingunge Ngombale-Mwiru, amekiacha “utupu” Chama Cha Mapinduzi (CCM), akidai kimegeuka misingi yake ya kuanzishwa kwake na kwa sasa kinaendeshwa kinyume cha Katiba na taratibu. Akizungumza na waandishi wa habari juzi nyumbani kwake, Kijitonyama Dar es Salaam,…
Sasa ni Lowassa, Magufuli
Leo naandika makala hii nikiwa mkoani Tanga. Naandika makala hii zikiwa zimesalia wiki tatu kabla ya Uchaguzi Mkuu Oktoba 25. Nimepata fursa ya kusafiri maeneo mbalimbali ya nchi hii. Nimezungumza na watu mbalimbali. Nimesikiliza ahadi za wagombea urais Edward Lowassa…