Author: Jamhuri
Kikwete : CCM si chama cha maneno maneno bali ni chama cha vitendo
Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) na Rais mstaafu wa Awamu ya Nne wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete, amesema CCM si chama cha maneno maneno bali ni chama cha vitendo, akisisitiza kuwa chama hicho kitaendelea…
Bei elekezi ya madini ya vito kuchochea ukuaji uchumi – CPA Kasiki
Tume ya Madini kupitia Kurugenzi ya Ukaguzi na Biashara ya Madini imekutana na wadau wa sekta ya madini wakiwemo wachimbaji, wanunuzi na wathaminishaji wa madini, kwa lengo la kupanga bei elekezi za madini ya vito, hatua inayolenga kuimarisha uwiano wa…
Viongozi wa dini Kanda ya Magharibi waazimia kudumisha amani kuelekea Uchaguzi Mkuu
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Tabora VIONGOZI wa dini katika mikoa ya Kanda ya Magharibi wameazimia kuendelea kudumisha amani, upendo na mshikamano wa kitaifa kuelekea Uchaguzi Mkuu ujao uliopangwa kufanyika oktoba 29, 2025. Kadhalika viongozi hao kutoka mikoa ya Tabora, Kigoma…
Samia: Vijana tulizeni munkari, msidanganywe
Na Kulwa Karedia-Dar es Salaam Mgombea urais wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Rais Samia Suluhu Hassan amewaasa vijana wa Tanzania kutokubali kudanganywa na kuwataka washushe munkari.Rais Samia ametoa kauli hiyo wakati akihutubia mkutano wa kampeni za uchaguzi mkuu katika majimbo…





