Author: Jamhuri
Tusirudie kuwa na Bunge la aina hii
Na Manyerere Jackton, JamhuriMedia, Dar es Salaam Katika historia ya mabunge ya Tanzania, Bunge la 12 (2020 – 2025) litabaki kuwa moja ya mabunge yaliyozua mijadala mikubwa kuhusu hadhi, majukumu na ushawishi wake halisi katika kuisimamia serikali. Wapo wanaodiriki kusema…
Rais Samia ametekeleza utoaji wa haki za mtoto – Waziri Dk Gwajima
Na WMJJWM- Dar es Salaam Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum Dkt. Dorothy Gwajima amesema Serikali ya Awamu ya Sita inayoongozwa na Dkt. Samia Suluhu Hassan imefanikiwa kutekeleza mipango na mikakati mbalimbali katika kutoa haki kwa…
PURA yachochea maendeleo kupitia gesi asilia, yaongeza juhudi ya usambazaji
Na Dotto Kwilasa,JamhuriMedia, Dodoma Mamlaka ya Udhibiti wa Mkondo wa Juu wa Petroli (PURA) imeeleza kuwa sekta ya gesi asilia imekuwa na mchango mkubwa katika maendeleo ya kijamii na kiuchumi, pamoja na kusaidia katika jitihada za kulinda mazingira nchini. Akizungumza…
Rais Samia atembelea majeruhi wa ajali Meatu
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan atembelea majeruhi wa ajali ya gari waliolazwa katika Hospitali ya Wilaya Meatu mkoani Simiyu leo tarehe 17 Juni, 2025.
Kilimanjaro kuendelea kupinga ukatili dhidi ya watoto
Na Ashrack Miraji Katibu Tawala wa Mkoa wa Kilimanjaro, Bw.Kiseo Nzowa ametoa wito kwa wananchi kuendelea kushirikiana na Serikali katika kukabiliana na vitendo vya ukatili na unyanyasaji dhidi ya watoto. Nzowa alitoa kauli hiyo leo Juni wakati wa maadhimisho ya…





