JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Author: Jamhuri

Balozi Asha Rose Migiro awasili Mwanza

Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Taifa, Balozi Asha Rose Migiro awasili leo Oktoba 6/2025 mkoani Mwanza kwa ajili ya mapokezi ya Mwenyekiti wa CCM Taifa na mgombea urais kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Dkt. Samia Suluhu…

Polisi yaanza uchuguzi kutekwa kwa Polepole

Jeshi la Polisi nchini Tanzania kupitia kwa Msemaji wake DCP David Misime limesisitiza kuwa bado linaendelea kumsubiri Humphrey Polepole ili aripoti katika Ofisi ya Mkurugenzi wa upelelezi wa Makosa ya jinai ili atoe maelezo kuhusu tuhuma mbalimbali alizozitoa kupitia Mitandao…

Wapongeza mageuzi ya mfumo CRDB ikisherehekea Wiki ya Huduma kwa wateja

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam BENKI ya CRDB imezindua rasmi maadhimisho ya Wiki ya Huduma kwa Wateja kwa mwaka 2025 katika hafla iliyofanyika katika tawi la Dar Village jijini Dar es Salaam, ikiambatana na kaulimbiu ya kimataifa ya…

Sikoseli si mwisho wa ndoto ya ujauzito, unaweza kujifungua salama

Na Mwamvua Mwinyi, JamhuriMedia, Pwani Ujauzito kwa mwanamke mwenye ugonjwa wa seli mundu (sikoseli) ni safari ya kipekee yenye changamoto kwa mama na mtoto, lakini si jambo lisilowezekana. Dkt. Jamila Makame, Daktari Bingwa wa Magonjwa ya Damu kutoka Hospitali ya…

Mgeja achanja mbuga kumuombea Dk Samia kura za ushindi wa kishindo

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Kahama MJUMBE wa Mkutano Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Shinyanga na Mwanasiasa Mkongwe, Khamis Mgeja amejitosa kumpigia kampeni mgombea urais wa chama hicho, Dk. Samia Suluhu Hassan, kuhakikisha anapata kura za ushindi wa…

Upepo wa Samia wazidi kuvuma kupitia mikutano yake ya kampeni

Na Dotto Kwilasa,JamhuriMedia, Dodoma Katibu wa Halmashauri Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Taifa, Itikadi, Uenezi na Mafunzo, Kenani Kihongosi, amesema tangu kuanza kwa mikutano ya kampeni za Urais kupitia CCM kwa mgombea wake Dkt. Samia Suluhu Hassan, tayari zaidi…