Author: Jamhuri
Balozi Matinyi akutana na Watanzania wanapishi nchini Uswidi
Balozi wa Tanzania katika Ufalme wa Uswidi, Mobhare Matinyi, tarehe 29 Mei, 2025, alifanya kikao na Watanzania wanaoishi nchini humo katika viwanja vya ofisi za ubalozi jijini Stockhom. Katika kikao hicho kilicholenga kufahamiana na kujadiliana kuhusu masuala ya Diaspora, Mhe….
Wajumbe wa Mkutano Mkuu CCM wakiburudika Dodoma
WAJUMBE wa Mkutano Mkuu Maalum wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), wakiburudika burudani ya mziki kutoka Kikundi cha Sanaa cha Tanzania One Theatre (TOT), kikiongozwa na Malkia wa Mipasho na Mziki wa Taarab, Bi. Khadija Omar Abdallah Kopa, leo Ijumaa tarehe…
TAKUKURU Tabora yanasa wezi wa mali za wakulima
Na Allan Kitwe, JamhuriMedia, Tabora TAASISI ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) Mkoani Tabora imenasa jumla ya wafanyabiashara 7 waliokuwa wakiuza mali za wizi za wakulima wa zao la tumbaku zenye thamani ya sh bil 1.4. Mkuu wa TAKUKURU…
Tanzania na Japan zasaini ushirikiano wa uwekezaji biashara ya Kaboni
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam SERIKALI ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Serikali ya Japan zimetia saini Hati ya Makubaliano ya ushirikiano katika mpango wa pamoja wa uwekezaji katika Biashara ya Kaboni utakaowezesha kampuni za nchi hizo…
BAKWATA: Juni 7 ni siku ya Eid el-adh’ha
BARAZA Kuu la Waislamu wa Tanzania (BAKWATA) limetangaza kuwa Sikukuu ya Eid El-Adh’ha kwa mwaka 2025 itafanyika Jumamosi Juni 7. Taarifa hiyo imetolewa leo Mei 29, 2025 na Katibu Mkuu BAKWATA, Alhaj Nuhu Mruma, kwa Waislamu na wananchi wote nchini,…
Dk Biteko ataja maeneo sita ya vipaumbele utekelezaji wa ilani ya CCM 2020/2025
📌 CCM yajivunia kuimarisha upatikanaji wa huduma bora kwa jamii 📌 Rais Samia asema CCM kuzindua Ilani yake kesho 📌 CCM yazalisha ajira 800,000 kwa vijana 2020/2025 Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma Mjumbe wa Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya…





