JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Author: Jamhuri

Suluhu mgawanyo wa mapato wa huduma za usafiri wa anga nchini yapatikana

Na Mwandishi Wetu, JammhuriMedia, Dar es Salaam Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA), Mamlaka ya Viwanja vya Ndege (TAA), Mamlaka ya Usafiri wa Anga Tanzania (TCAA) pamoja na Kampuni ya Ndege Tanzania (ATCL) wafanikisha upatikanaji wa suluhu ya mgawanyo…

Dk Biteko awataka wazazi kuvumilia kutunza familia zao

📌 Asisitiza wazazi kutenga muda wa kuwa na watoto wao 📌 Asema familia imara ni msingi wa dunia imara 📌 Mashirika, Wadau wa Maendeleo waipongeza Serikali kuimarisha malezi ya watoto 📌 Zaidi ya kaya 15,000 zapata elimu ya malezi jumuishi…

CCM kufanya mkutano mkuu wa kihistoria jijini Dodoma

Na Dotto Kwilasa,JamhuriMedia, Dodoma Chama Cha Mapinduzi (CCM) kinatarajia kufanya Mkutano Mkuu maalum wa Taifa utakaoandika historia mpya katika uendeshaji wa shughuli za chama hicho kikongwe barani Afrika. Mkutano huo utafanyika katika Ukumbi wa Jakaya Kikwete Convention Centre, jijini Dodoma,…

Dkt.Tulia kugombea Jimbo Jipya la Uyole

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Mbeya Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ambaye pia ni Rais wa Umoja wa Mabunge Duniani(IPU) na Mbunge wa Mbeya Mjini,Dkt.Tulia Ackson,ametangaza nia ya kugombea Ubunge jimbo jipya la Uyole mkoani Mbeya katika…

Madini ya almasi yenye thamani ya bilioni 1.7/- yakamatwa yakitoroshwa uwanja wa ndega Mwanza

▪️Waziri Mavunde awapongeza RC Mtanda,Kamati ya Usalama,Uwanja wa Ndege na Kikosi kazi Madini ▪️Aelekeza uchunguzi zaidi kubaini mtandao wote wa wahusika ▪️Atoa rai kwa wadau wa madini kuzingatia sheria ya biashara ya madini nchini ▪️Raia wa kigeni mwenye asili ya…

Wananchi Lindi watakiwa kuchangamkia fursa za madini

· Waaswa kuacha uvivu · Mgodi wa Elianje, injini ya maendeleo Namungo Na Mwandishi Wetu JamhuriMedia, Lindi WANANCHI wa Mkoa wa Lindi wametakiwa kuacha uvivu na badala yake wachangamkie fursa zilizopo kwenye sekta ya madini hususani katika mgodi wa kati…