JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Author: Jamhuri

Ujangili: Asiyoambiwa Rais Samia

Na Manyerere Jackton, JamhuriMedia, Dar es Salaam Mambo makubwa yanayohusu hatima ya taifa letu hayana budi yasemwe hata kama kufanya hivyo kutaleta gharama kwa wanaoyasema. Huu ni wajibu wa kikatiba, kwa kuwa wananchi wa Tanzania, kama ilivyoainishwa katika Katiba ya…

Zebaki yawatesa, wanawake, watoto

Na Anthony Mayunga, JamhuriMedia, Mara Baadhi ya wanawake na watoto wanaojihusisha na uchimbaji na uchenjuaji wa dhahabu kwa kutumia zebaki hapa nchini ni waathirika wakubwa wa kemikali hiyo. Kwa mujibu wa Shirika la Afya Duniani (WHO), zebaki inapoingia mwilini inaharibu…

Rais Samia utakumbukwa kwa Bwawa la Kidunda

Na Deodatus Balile, JamhuriMedia, aliyekuwa Kidunda Wiki moja iliyopita, nimepata fursa ya kutembelea ujenzi wa Bwawa la Kidunda, lililopo mkoani Morogoro. Ujenzi wa Bawawa hili umeanza rasmi mwaka 2023 na unatarajia kukamilika mwaka 2026 kwa gharama ya zaidi ya Sh…

Kenya yaijibu Sudan kuhusu uwepo wa waasi wa RSF jijini Nairobi

Baada ya Sudan kutangaza nia ya kuchukua hatua kali dhidi ya Kenya kwa kile ilichokiita kuunga mkono wanamgambo wa RSF kwa kuwapa nafasi ya kufanya mkutano jijini Nairobi, Kenya imejitokeza kueleza msimamo wake kuhusu suala hilo. Katika taarifa rasmi iliyotolewa…

Kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025, CCM yasisitiza maadili, haki na kupambana na rushwa

Na Dotto Kwilasa, JamhuriMedia, Dodoma Chama Cha Mapinduzi (CCM), kikiwa kinajiandaa kuelekea Uchaguzi Mkuu wa 2025, kimesema kitaendelea kutekeleza majukumu yake kwa haki kwa kuzingatia Katiba na kujiepusha na vitendo vya rushwa. Katibu Mkuu wa CCM, Balozi Dkt. Emanuel Nchimbi,…

Profesa Mkenda azindua bodi ya TAEC, aitaka kusimamia ufadhili wa Samia Scholarship Extended Program

Na Tatu Mohamed, JamhuriMedia, Dar es Salaam WAZIRI wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Profesa Adolf Mkenda amezindua bodi mpya ya Tume ya Nguvu za Atomu Tanzania (TAEC) ambapo ameitaka kusimamia kwa umakini ufadhili wa masomo ya elimu ya juu ya…