JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Author: Jamhuri

‘Ofisi ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali imeamua kuwafikia wananchi walipo’

Mkuu wa mkoa wa Mwanza Saidi Mtanda amezindua Kamati ya Ushauri wa Kisheria ya Mkoa wa Mwanza tarehe 17 Februari 2025 na kufuatiwa na Kliniki ya Sheria bila malipo kwa wananchi wa Mkoa wa Mwanza inayoanza Februari 17 hadi 23,…

Chana ateta na sekretariet ya Mkataba wa Lusaka wa kukabiliana na ujangili

Na Happiness Shayo, JamhuriMedia, Dar es Salaam Waziri wa Maliasili na Utalii, Balozi, Dkt. Pindi Chana (Mb) amekutana na kufanya mazungumzo na Ujumbe wa Sekretarieti ya Mkataba wa Kikanda wa Lusaka (Lusaka Agreement Taskforce-LATF) wa kukabiliana na ujangili na biashara…

Tanzania na UNODC kuendelea kuimarisha ushirikiano katika kukabiliana na uhalifu wa mazingira

Na Happiness Shayo, JamhuriMedia, Dar es Salaam Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Ofisi ya Umoja wa Mataifa ya Kudhibiti Madawa ya Kulevya na Uhalifu, Ofisi ya Kanda ya Afrika Mashariki (UNODC ROEA), imejipanga kuendelea kuimarisha ushirikiano katika…

Mkesha Maalum wa kuliombea Taifa kufanyika Februari 28, mwaka huu

Na Tatu Mohamed, JamhuriMedia, Dar es Salaam KATIKA kuelekea uchaguzi Mkuu mwaka huu, waumini wa Madhehebu mbalimbali nchini wametakiwa kujitokeza kwa wingi katika Mkesha Maalum wa kuombea taifa na kumuombea Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu…

Waziri Mavunde apiga marufuku wageni kuingia kwenye leseni za uchimbaji mdogo

▪️Awataka wenye leseni kufuata taratibu za kisheria za msaada wa kiufund ▪️Serikali kutunga kanuni za kuratibu wageni kwenye Leseni ndogo ▪️Awataka RMO kufanya ukaguzi katika maeneo yao ▪️Awaonya wachimbaji wanaoingiza wageni kinyemela 📍Morogoro Waziri wa Madini Mhe. Anthony Mavunde amepiga…