Author: Jamhuri
Serikali kutatua changamoto ya kufurika wa mito
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma Serikali kupitia Ofisi ya Makamu wa Rais imesema inatarajia kuwezesha usafishaji na ujenzi wa kuta za mito yenye changamoto ya kufurika hasa wakati wa mvua ili kuwanusuru wananchi na kuathiriwa na mafuruko. Hayo yamesemwa na…
Majaliwa : Serikali imejipaga kudhibiti magugumaji ziwa Victoria
*Amshukuru Rais Dkt. Samia ununuzi wa mitambo ya uteketezaji wa magugumaji WAZIRI MKUU, Kassim Majaliwa amesema Serikali imeweka mikakati madhubuti ya kuhakikisha changamoto ya uwepo wa magugumaji katika ziwa Victoria inapatiwa ufumbuzi ili kuwezesha shughuli za kijamii ziweze kuendelea katika…
Nyongeza ya mshahara asilimia 35.1, uthibitisho wa Rais Samia kuwajali wafanyakazi
Na Dk. Reubeni Lumbagala, JamhuriMedia, Tanga Kila ifikapo Tarehe 01 Mei ya kila mwaka, huadhimishwa Siku ya Wafanyakazi Duniani. Kila nchi huadhimisha siku hii kwa utaratibu wake, muhimu ni kufanya tafakuri ya hoja za wafanyakazi ili hoja hizo zifike katika…
Wizara ya Maliasili yatangaza vipaumbele 10 vya Bajeti 2025/2026 ikiwemo kuinua italii na uhifadhi
Na Dotto Kwilasa, JamhuriMedia, Dodoma Wizara ya Maliasili na Utalii imetangaza vipaumbele vyake kumi kwa Mwaka wa Fedha 2025/2026 ikiwemo Kuendelea kutangaza utalii ndani na nje ya nchi kupitia,matangazo katika ligi kuu za michezo mashuhuri duniani,mashindano ya kimataifa, mashirika ya…





