Author: Jamhuri
Wasira : CCM haitakubaliana na azimio lolote litakalopitishwa na CHADEMA lenye lengo la kuvunja amani
MAKAMU Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Tanzania Bara, Stephen Wasira, amesema kuwa chama na Serikali yake haitakubaliana na azimio lolote litakalopitishwa na Chama cha Demokrasia na Maenddeleo (CHADEMA) lenye lengo la kuvunja amani, umoja na mshikamano wa taifa. Amesema…
Serikali yaridhishwa na ujenzi wa barabara za Mtili- Ifwagi na Wenda Mgama
Na Mwandishi Wetu, Jamhurimedia, Iringa Mtendaji Mkuu wa Wakala ya Barabara za Vijijini na Mijini (TARURA), Mhandisi Victor Seff, amesema serikali inaridhishwa na kazi zinayofanywa na wakandarasi wanaojenga barabara za Mtili – Ifwagi (Km. 14) na Wenda – Mgama (Km….
Uzinduzi sera ya elimu waahirishwa hadi Februari 2025
Na Dotto Kwilasa, JamhuriMedia,Dodoma WAZIRI wa Elimu Sayansi na Teknolojia, Prof. Aldof Mkenda, ametangaza kwamba mkutano wa uzinduzi wa Sera ya Elimu na Mafunzo ya Mwaka 2014, toleo la 2023, sasa utafanyika Februari 1, 2025, badala ya Januari 31, 2025,…
TAKUKURU Tabora wabaini madudu kwenye miradi ya maendeleo
Na Allan Kitwe, JamhuriMedia, Tabora TAASISI ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) Mkoani Tabora imetembelea na kukagua jumla ya miradi 11 ya maendeleo yenye thamani ya zaidi ya sh bil 28 na kubaini dosari katika utekelezaji baadhi ya miradi…
Kuunganisha umeme maeneo ya vijijini sh. 27,000 – Kapinga
📌 Asema kuunganisha umeme maeneo ya mjini shilingi 320.960/- 📌 Kapinga asema maeneo ya Kerwa umeme umeshafika Makao Makuu ya Vijiji Naibu Waziri wa Nishati, Judith Kapinga kwa niaba ya Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto…