JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Author: Jamhuri

Mwili wa Ndugai wawasili Kongwa, wananchi wafurika kutoa heshima za mwisho

Mwili wa Spika Mstaafu wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Hayati Job Ndugai wawasili Kongwa, Viongozi mbalimbali na Wananchi wa Wilaya ya Kongwa wajitokeza kwa wingi kuaga mwili wa Spika Mstaafu Job Ndugai katika viwanja vya stendi ya…

Katibu wa Siasa na Uenezi akanusha uvumi wa vurugu wakati wa kura za maoni Jimbo la Mbarali

Na Mwandishi Wetu, JakhuriMedia, Mbarali Katibu wa Siasa na Uenezi wa Kata ya Miombweni, Sevia Dickson Ngubi, amekanusha vikali taarifa zinazodai kuwa kulitokea vurugu wakati wa zoezi la kura za maoni lililofanyika wiki iliyopita katika kata hiyo. Akizungumza na vyombo…

NEMC yawafikia wadau 1,450 elimu ya mazingira nanenane

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma BARAZA la Taifa la Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira (NEMC) limewafikia wadau takriban 1,450 kwa utoaji wa elimu ya uhifadhi na usimamizi endelevu wa mazingira katika Maonesho ya Kilimo ya Nane Nane jijini Dodoma na…