Author: Jamhuri
Tanzania, Uingereza kushirikiana kuendeleza madini mkakati
Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam SERIKALI ya Tanzania imeihakikishia Serikali ya Uingereza kuendeleza ushirikiano kwenye sekta ya madini hususani katika kujengea uwezo watu wake, kubadilishana uzoefu, uongezaji thamani madini na kuwekeza kwenye kufanya tafiti mbalimbali ili kukuza sekta ya…
‘Uchumi wa Tanzania, Zanzibar kuendelea kuwa wa kuridhisha’
UKUAJI wa uchumi kwa Tanzania Bara na Zanzibar unatarajiwakuendelea kuwa wa kasi ya kuridhisha kwa takribani asilimia 6 na asilimia 6.8, mtawalia. Ukuaji huu unatarajiwa kuchangiwa na ongezeko la uzalishaji katika shughuli za kilimo, utekelezaji wa miradi ya ujenzi, maboresho…
Prof Lipumba : Hali ya demokrasia duniani inaendelea kuporomoka
Na Magrethy Katengu, JamuhuriMediaDar es Salaam Mwenyekiti wa Chama Cha Wananchi Taifa (CUF), Profesa Ibrahim Lipumba amesema kutoka na hali halisi inayoendelea kila nchi inaonyesha kuwa demokrasia inaendelea kuporomoka duniani. Prof.Lipumba aliyasema hayo leo Januari 7,2025 jijini Dar es Salaam…
Rais Mwinyi : Serikali itajenga barabara nyingi Pemba
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Hussein Ali Mwinyi amewahakikishia Wananchi wa Pemba kuwa Barabara nyingi Kisiwani humo zitajengwa kwa Kiwango cha Lami. Rais Dk Mwinyi ameyasema hayo alipozindua Barabara za Kilomita 10 za Micheweni –…
PPPC yatoa mafunzo ya uwekezaji kupitia ubia kwa madiwani wa Ilemela
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam KITUO Cha Ubia kati Serikali na Sekta binafsi (PPPC) kimetoa mafunzo namna ya uwekezaji kupitia Ubia kwa Madiwani wa Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela Jijini Mwanza ambao wameambatana na Menejimenti ya Manispaa ya Ilemela…
Serikali yatoa milioni 400 kusambaza mitungi ya gesi kwa ruzuku Dodoma
📌Mitungi 19,530 kuuzwa kwa bei ya ruzuku kwa lengo la kuhamasisha na kuchochea matumizi ya nishati safi ya kupikia Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma Wakala wa Nishati Vijijini (REA) umeingia mkataba na mtoa huduma kampuni ya Lake Gas Ltd ambaye…