JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Author: Jamhuri

Mwarobaini uvuvi haramu huu hapa

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Mwanza Ni zama za sayansi na teknoojia. Ndio, teknolojia inapaswa kutumika katika kila eneo ilimradi tu kuleta ufanisi na kuboresha amaisha. Ni ukweli huu ndio umeifanya Wizara ya Mifugo na Uvuvi, kwa mara ya kwanza nchini,…

Chana aanika mikakati ya uhifadhi kwa wananchi wa Wanging’ombe katika kukabiliana na changamoto ya wanyamapori

Na Happiness Shayo, JamhuriMedia, Wanging’ombe Waziri wa Maliasili na Utalii, Mhe. Balozi, Dkt. Pindi Chana (Mb) amefungua rasmi semina ya kuwajengea uwezo wadau wa uhifadhi kuhusu mikakati ya kukabiliana na changamoto ya wanyamapori wakali na waharibifu ikiwa ni pamoja na…

Awamu ya pili uboreshaji, uwekaji wazi wa dafatri la wapiga kura kuanza mei

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Uboreshaji wa Daftari la Kudumu la Wapiga Kura awamu ya pili utafanyika sambamba na uwekaji wazi wa Daftari la Awali la Wapiga Kura kuanzia tarehe 01 Mei, 2025 na kukamilika tarehe 04 Julai,…

KilupiI: Ataka kura za maoni zisiwagawe wanaCCM

Na Is-haka Omar,Zanzibar Katibu wa Kamati Maalum ya NEC,Idara ya Organazesheni CCM Zanzibar  Omar Ibrahim Kilupi,amesema zoezi la kura za maoni ndani ya Chama Cha Mapinduzi lisiwagawe wanachama badala yake wawaunge mkono wagombea watakaopitishwa na vikao vya maamuzi.  Ushauri huo…

Dk Mpango afanya mazungumzo na Naibu Waziri wa Ulinzi wa India

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Mpango amekutana na kufanya mazungumzo na Naibu Waziri wa Ulinzi wa Jamhuri ya India Mhe. Sanjay Seth, mazungumzo yaliyofanyika Ikulu Jijini Dar es Salaam. Katika Mazungumzo hayo, Makamu…

ATC Wazalendo : Malengo yetu hayawezi kutimia bila kushriki na kushinda chaguzi

Katibu Mkuu wa Chama cha ACT-Wazalendo, Ado Shaibu amefungua mafunzo ya viongozi wa majimbo ya Kanda ya Kati mjini Dodoma. Akifungua mafunzo hayo Aprili 12, 2025 jijini humo, Ado amewaeleza viongozi wa majimbo yote 25 ya mikoa ya Dodoma, Manyara…