JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Author: Jamhuri

Wasira atoboa siri

*Asema CHADEMA walionyesha ubinafsi bila kujali masilahi ya Watanzania wote *Walitaka wao na CCM pekee washirikiane kuandika Katiba mpya *Asema ‘No reforms, no election’ ni ndoto na kinyume cha Katiba, sheria za nchi Na Mwandishi Wetu, JamhuriMwedia, Dar es Salaam Hatimaye siri…

Trump asitisha misaada yote ya kijeshi ya Marekani kwa Ukraine

Rais wa Marekani Donald Trump amesitisha misaada yote ya kijeshi kwa Ukraine kufuatia mzozo wake na Rais wa Ukraine Volodymyr Zelenskiy wiki iliyopita, amesema afisa wa Ikulu ya White House. “Rais Trump amekuwa wazi kuwa anataka amani. Tunataka pia washirika…

‘Toeni maelezo sahihi kupata msaada wa kisheria’

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Arusha Naibu Waziri wa Katiba na Sheria, Jumanne Sagini amewashauri wananchi wenye changamoto mbalimbali za kisheria kutoa maelezo sahihi ili kuwasaidia watoa huduma za msaada wa kisheria kupitia kampeni ya Mama Samia Legal Aid kutatua changamoto…

Sheria kuitambua maabara Tume ya Madini

• Mbioni kupata Ithibati Maabara ya Tume ya Madini sasa imetambulika rasmi kisheria na ipo mbioni kukamilisha mchakato wa kupata Ithibati. Maabara hiyo ya Tume ya Madini iliyopo Msasani jijiini Dar es Salaam ambayo kwa sasa inatambulika kisheria inafanya kazi…