Author: Jamhuri
Rais Donald Trump amuita Zelensky dikteta
Rais wa Marekani Donald Trump amemuita Rais Volodymyr Zelensky wa Ukraine dikteta anayekataa kuitisha uchaguzi na kumuonya kwamba anabidi kuchukua hatua za haraka kutafuta amani au kupoteza nchi yake. “Amekataa kufanya uchaguzi, hana umaarufu katika kura za maoni ya Waukraine…
Waziri Mhagama apongeza kiwanda pekee kinachotengeneza maji tiba nchini
……. Ni cha Kairuki Pharmaceuticals Industry Limited Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Pwani Waziri wa Afya, Jenista Mhagama, amekipongeza kiwanda cha kutengeneza maji tiba cha Kairuki Pharmaceuticals Industry Limited kilichoko Mkoa wa Pwani. Alitoa pongezi hizo jana alipotembelea kiwanda hicho kwa…
Jaji Warioba : Napongeza CCM kwa hatua zake hidi ya rushwa
Makamu wa Kwanza wa Rais na Waziri Mkuu Mstaafu, Mheshimiwa Jaji Joseph Sinde Warioba, amepongeza hatua zilizoanza kuchukuliwa na Chama Cha Mapinduzi (CCM) katika mapambano dhidi ya rushwa kwenye uchaguzi. Jaji Warioba ametoa pongezi hizo akirejea mabadiliko ya Katiba ya…
Bolt yafurahishwa kuongezeka idadi ya wateja wanaotumia huduma za usafiri mtandaoni
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam KAMPUNI inayoongoza kwa huduma za usafirishaji mtandaoni nchii na Barani Afrika imefurahishwa na kuongezeka kwa idadi ya wateja wanaotumia huduma hiyo. Dimmy Kanyankole ni Meneja Mkuu wa Bolt Tanzania na Kenya alisema kuwa…
Washindi Tuzo za kihistoriaTEHAMA 2025 hadharani leo
*Tume ya TEHAMA yafikiria Tuzo kwa wanahabari Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam WASHINDI wa kwanza wa Tuzo za TEHAMA 2025, wanatarajiwa kutangazwa rasmi leo katika hafla ya Tuzo hizo zinazotarajiwa kufanyika katika Hoteli ya Nyota Tano ya Gran…
RC Ruvuma: Kuna ongezeko la watoto wa mitaani
Na Cresensia Kapinga, JamhuriMedia, Songea. Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma Kanali Ahamed Abbas Ahamed amesema kuwa mkoa huo unakabiliwa na changamoto ya watoto wanaoishi na kufanyakazi za mitaani hususani katika Halmashauri ya Manispaa ya Songea jambo ambalo linapelekea kuwa katika…