Author: Jamhuri
Mavunde : Masoko na vituo vya ununuzi wa madini vyaongezeka
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Waziri wa Madini, Athony Mavunde amesema kuwa tangu kuanzishwa kwa masoko ya madini mwaka 2019, Masoko na Vituo vya Ununuzi vimeongezeka kutoka 42 na 100 mwaka 2020/2021 hadi kufikia 43 na 109 mwaka…
Programu ya MBT kutatua changamoto na kuboresha fursa kwa wanawake – Mavunde
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Wizara ya Madini imekamilisha maandalizi ya program ya MBT ambayo itatekelezwa katika kipindi cha miaka mitano kuanzia mwaka 2025 hadi 2030. Waziri wa Madini, Anthony Mavunde amesema kuwa Programu hii ni ya kimageuzi…
Miaka minne ya Serikali Awamu ya Sita, pato la taifa sekta ya madini lakua
Na Mwandisi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Katika kipindi cha miaka minne ya Serikali ya Awamu ya Sita, mchango wa sekta ya madini katika Pato la Taifa umeendelea kuimarika na kukua kutoka asilimia 7.3 mwaka 2021, asilimia 9.1 mwaka 2023…
Wizara ya Madini yafanikiwa kuzima jaribio la usafirishaji haramu almasi
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam SERIKALI kupitia Wizara ya Madini imefanikiwa kuzuia jaribio la kusafirisha kinyume cha sheria madini ya almasi yenye thamani ya dola za Marekani 635,847.66, sawa na takriban shilingi bilioni 1.7, kupitia Uwanja wa Ndege…
Wajadili teknolojia matibabu mfumo wa chakula
Wataalamu takribani 200 wa afya ya mfumo wa mmeng’enyo wa chakula wamekutana leo jijini Dar es Salaam kujadili namna ya kutumia Akili Mnemba(AI) katika matibabu ya magonjwa ya mfumo wa chakula yanayoathiri jamii kwa kiasi kikubwa. Kongamano hilo la kwanza…
Mbeki: Changamoto inayoikumba Afrika si ukosefu wa sera nzuri bali ni uhaba wa viongozi wenye kuzitekeleza
Aliyekuwa Rais wa Afrika Kusini, Thabo Mbeki, amesema kuwa changamoto kubwa inayolikumba Bara la Afrika si ukosefu wa sera nzuri bali ni uhaba wa viongozi wenye uwezo wa kuzitekeleza. Akizungumza wakati wa Mhadhara wa Siku ya Afrika uliofanyika Dar es…





